Fungua
Foundation for Indigenous Eduation (FIE) Morogoro

Foundation for Indigenous Eduation (FIE) Morogoro

Morogoro, Tanzania

Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

Ni kwa mara nyingine tena shirika la Elimu Asilia limeendelea na tafiti zake katika Wilaya ya Kilombero Mkoani Morogoro kwa makabila ya Wandamba na Wambunga.

kikubwa kinachoangaliwa ni maadili katika makabila yote hayo tunayofanyia utafiti,

ili kuona je, hapo zamani mababu na bibi zetu waliishi vipi.

Hususan katika Ulinzi, Tambiko, Tiba, Vyakula, Ndoa, Jando na Unyago n.k.

large.jpgTimu ya  utafiti (FIE)