Hapa Mkurugenzi wa Africa Upendo Group akiwasindikiza wageni wake waliomtembelea kwa ajili ya vijana wa ulinzi salama.Hapa Yupo OCD wa kimara na RPC Wambura wa Mkoa wa kipolisi Kinondoni.Utii wa sheria bila shuruti pamoja na major Gervas na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Makuburi.
August 26, 2013