Technical adviser of Bright Light organization Mr. Kim Adiel Juan in dipper thinking on how to bring sustainable development of Bright Light organization.
Hawa ni baadhi ya watoto wanaopata elimu ya bure kutoka katika asasi ya Bright Light wakiwa darasani
Baadhi ya watoto wanaoendelea kuhudumiwa na asasi ya Bright Light katika sekta ya elimu
Wadau toka asasi mbalimbali za mkoa wa Geita wakijadili ukandamizaji wa haki za mtoto kufuatia kuibuliwa kwa kisa cha mtoto Japhet alieugua hadi mfupa kutengana na mguu na wadau kuchukua hatua za kumpeleka hospitali ya Bugando
Wageni waalikwa toka asasi mbalimbali za mkoa wa Geita wakijadili mada za maandalizi ya siku ya wazee kitaifa
Wageni waalikwa toka asasi mbalimbali za mkoa wa Geita wakisikiliza mada za kuhusu mtoto
Wageni waalikwa toka asasi mbalimbali za mkoa wa Geita wakijadili mada maenedeleo ya mtoto
Wachezaji wa timu ya shule ya Nyarugusu wakiwa tayali kwa pambano la soka siku ya sherehe ya mtoto wa Afrika
Vijana wa shule ya Nyarugusu wakimsalimia mgeni rasmi ndugu Mathew, Mratibu miradi wa asasi Bright Light Foundation ya mjini Geita
BLF partcipate in the child's day that held in Nyarugusu,Geita in collaboration with Geita Geita Gold mine and stakeholders, the event estimamted to involves over 3,400 from urban and rural areas, that indicated awareness towads childre's rights has improved in the entire communites