Watumishi wa asasi ya BrightlightOrganization wakijadili namna ya kubaini vyazo asilia vya maji moani Geita mwaka 2014.
Mwl.mkuu ndugu David Ocheng akifuatilia kwa umakini watoto wakati wa mapumziko kituoni Brightlight Organization.
Baadhi ya volunteers kutoka nchini Ureno wanaojitolea katika asasi ya Brightlight Organization kwa upande wa haki za mtoto wa kike hapa mkoani Geita.
Mwl.Jenifrida Joas akiwa na watoto katika kituo cha Brightlight Organization akitoa elimu ya kisaiklojia kuhusiana na watoto wadogo.
Mkurugenzi mtendaji wa Brightlight Organization ndugu Mathew Daniel kulia akiwa katika picha ya pamoja na baathi ya wajumbe kutoka katika asasi mbalimbali mkoani Geita .
Mkurugenzi mtendaji ndugu Mathew Daniel akitoa ushauri kutokana na kuboresha mtandao wa mkoa (GERENGONET)yaani Geita Regional NGOS network katika ukumbi wa Halmashauri ya mji wa Geita.
Timu ya watafiti kutoka vyuo vya maendeleo ya kijamii nchini Tazania wakiwa katika kalakana ya (BRIGHTLIGHT WORKSHOP) inayotumika kutoa mafunzo ya bure kwa vijana mkoani Geita.
Fundi mchundo wa Brightlight Organization ndugu Lameck akielezea jinsi Brightlight Organization ilivyosaidia vijana kuwapa mafunzo ya bure na kuachana na utumiaji wa madawa ya kulevya mkoani Geita.
mkurugenzi mtendaji wa asasi ya Brightlight Organization wa tatu kutoka kushoto ndugu Mathew Daniel akiwa na timu ya watafiti kutoka katika vyuo mbalimbali vya maendeleo ya kijamii nchini Tanzania.