Mkurugenzi wa Asasi ya Brightlight Organization wa kwanza kulia na baadhi ya maafisa kutoka idara ya maendeleo na Ustawi wa jamii wakiwa katika kujadili jinsi gani waweze kukomesha ukatili kwa watoto na wanawake mkoani Geita katika kikao cha wadau.
Idara ya maendeleo na Asasi za kiraia wakitoa taarifa za maendeleo mbalimbali na kupanga mikakati mbalimbali kuhususu kutekeleza miradi mkoani Geita .
Walimu wakiwa na watoto wa mtaani wakati wa chakula cha mchana kituoni Brightlight Organization.
Watoto wa mtaani wanaohudumiwa na Asasi ya Brightlight Organization wakiwa na furaha katika banda lao la maonyesho siku ya wanawake Duniani.
Banda la Asasi ya Brightlight Organization lililotumika katika maonyesho sambamba na ushauri nasaha na utoaji wa elimu ya kisaiklojia siku ya maadhimisho ya wanawakeke mkoani Geita.
mkurugenzi wa Asasi ya Brightlight Organition wa kwanza kushoto wakati wamesimama na mgenia rasmi ili kutoa zawadi kwa vikundi vya wanawake wajasilia mali.
wa kwanza ni mkurugenzi wa Asasi ya Brightlight Organization akiwa katika kutafakari kwa kina baada ya kusikiliza igizo lililohusu ukatili kati ya wanawake na watoto.
Afisa maendeleo ya jamii ndugu Majagi Maiga wa PILI kutoka kushoto akitazama igizo lililoanndaliwa na watoto wa mtaani kutoka katika kituo cha Brightlight Organization mkoani GEITA .
Hizi ni baadhi ya bidhaa zinazotengenezwa na wanawake wa ikikundi cha Agape women Group,katika Asasi ya Brightlight Organization mkoani Geita.
Mmoja kati ya wanawake waliohojiwa na Asasi ya Brightlight Organization akieleza kwa uchungu mkubwa kuhusu jinsi alivyofanyiwa ukatili na mume wake kupigwa na kufukuzwa kama mbwa.