Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Icyongereza. Edit translations

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI TABATA WAPEWA ELIMU JUU YA NJIA ZINAZOTUMIKA KUAMBUKIZA   VVU/UKIMWI PAMOJA NA ATHARI ZA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA.

THE N.G.O's  EXECUTIVE DIRECTOR  Mwl.MURASI  ABRAHAM  JOSEPH  provides  the  HIV AND  AIDS  Preventive  education  to the seminar  before  Tabata  Primary  School  pupils.The  seminar was held at Tabata Primary  School  Ground  as  the photo displayed  above.

Program ya elimu ya mapambano dhidi  ya maambukizi ya VVU/UKIMWI yazinduliwa mashuleni.

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MTAMBANI WAKIPITIA VIPEPERUSHI VILIVYOTOLEWA  NA ASASI YA ''SHAKE HANDS'' VYENYE ELIMU JUU YA NJIA ZINAZOTUMIKA KUAMBUKIZA VVU/UKIMWI NA ATHARI ZA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA.

Asasi ya Shake Hands Youth Organization imezindua rasmi mradi wa kutoa elimu ya mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI Kwa vijana wa shule za msingi na sekondari katika Kata nane za Manispaa ya Ilala,Dar es salaam.

Akizindua programu ya kutoa elimu  ya mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI na athari za madawa ya kulevya kwa jamii,Mkurugenzi Mtendaji wa ''Shake Hands Youth Organization na Mkufunzi wa semina hiyo'' MWL.Murasi Abraham Joseph amewaasa wanafunzi wote nchini kuwa makini na kujiepusha kushiriki jambo lolote linaloweza kuhatarisha maisha yao na kupelekea kupata maambukizi ya  VVU/UKIMWI.

Katika mradi huo Shule zote za Msingi na Sekondari ndani ya Manispaa ya Ilala katika kata nane ambazo ni Ukonga,Pugu,Kipawa,Chanika,Kitunda,Segerea,Tabata na Kinyerezi zitapata elimu juu ya njia zinazotumika kuambukiza  VVU/UKIMWI  pamoja na athari za matumizi ya dawa  za kulevya kwa watumiaji

MALENGO  NA  MADHUMUNI  YA  ASASI(N.G.O).

YAFUATAYO  NI  MALENGO  NA  MADHUMUNI  YA  ASASI(N.G.O)  KWA  MUJIBU  WA  KATIBA  YA  ASASI;-

(i)Kupiga  vita dhidi  ya maambukizi ya  VVU/UKIMWI  Katika  jamii  za  watanzania.

(ii)Kuratibu Mipango na  miradi  ya hiari yenye  lengo  la  kuyasaidia  makundi  hatarishi/yanayoishi  katika  mazingira  magumu  kama  vile   Yatima, Walemavu,Wajane, Wanawake  na  Wazee.

(iii)Kuratibu  shughuli  na  juhudi  za  maendeleo  kwa  lengo  la  kupunguza  Umaskini  wa kipato  kwa Vijana  na  Wanawake. 

(iv)Kuratibu  rasilimali  na  kuunganisha  juhudi za  pamoja  kwa ajili   ya  jitihada  za  maendeleo  ya  Vijana, Wanawake, Yatima  na  Walemavu

(v) Kuwawezesha, kuwasaidia  na  Kuwaunganisha au  kuwakutanisha  vijana  kwa  pamoja  katika  kutekeleza  na  kujadili  shughuli  mbalimbali  zenye  kuleta maendeleo  kwa  vijana.

(vi)Kuwajengea  vijana  Uwezo  kwa  lengo  la  kuwafanya wajiamini kushiriki  kufanya maamuzi yenye  tija  katika  shughuli  mbalimbali  za  maendeleo  yao.

(vii)Kuwajengea  Uwezo  vijana  ili  waweze  kutambua na  kutumia  vipaji  walivyonavyo  kupitia   mpango  wa  kubadilishana  uzoefu  toka  katika mashirika  mengine  ya  vijana,kuwafundisha  vijana mambo  mbalimbali  ya  maendeleo  kupitia  mpango wa  mafunzo  kambini  kwa  vijana  ili  jamii  ipate  vijana  wenye  Uwezo  wa  kujiletea  maendeleo.

(viii)Kushirikiana  na  shule  za  Msingi, Sekondari, Vyuo, Vyuo  Vikuu  na  Vyuo  vyote  vya  Ufundi  Nchini  kwa  lengo  la  kupenyeza  elimu  ya  Afya  ya uzazi katika jamii,Ujasiriamali pamoja  na  elimu  ya  kuzuia  maambukizi  ya  VVU/Ukimwi   kwa  makundi  yanayoishi  katika  mazingira  magumu.

(ix)Kupiga vita mmomonyoko wa maadili  katika  jamii  hususani kwa  vijana  na  wanawake.

(x)Kutoa elimu  na  ushauri  nasaha  kwa  vijana  na  wanawake  kuhusu  magonjwa ya  kuambukizwa / Zinaa (Sexual  Transmitted  Diseases)

(xi)Kuendesha  kituo  cha  Habari na  taarifa, chenye lengo  la  kuwajengea  Uwezo  Vijana  na  Wanawake  kuhusu mambo  mbalimbali yanayohusu  maendeleo  yao.

(xii)Kuendesha na kuratibu Mfuko  wa  mikopo kwa  Vijana  na  Wanawake  unaotoa  mikopo  midogomidogo kwa  wajasiriamali  kwa  lengo  la  kuwawezesha  Vijana  na  wanawake kiuchumi.

(xiii)Kuendesha  mafunzo mbalimbali,  semina,warsha na makongamano  juu  ya  mambo  mbalimbali  yanayohusu  vijana, yatima  na wanawake.

(xiv)Kufanya  tafiti  mbalimbali  zinazoathiri  maswala  mbalimbali ya  maendeleo  ya  vijana, Wanawake   na  Yatima.

(xv)Kushirikiana  na Mashirika  ya  Kimataifa  na  kitaifa  katika  shughuli  mbalimbali  zinazoleta    ustawi  wa  maendeleo  ya  Vijana  na Wanawake  katika  jamii.

(xvi)Kuendeleza  mshikamano  wa  Vijana  katika  nchi  yetu.

(xvii)Kuwatembelea  Yatima  na  Wajane  Katika  Makazi  yao  mara  kwa mara kwa  lengo la  kuwafariji  na  Kuwapa  Msaada  wowote  wa  haraka  panapostahili.

(xviii)Kuwahimiza,  kuwashawishi  na  kuwaelimisha vijana  na  Wanawake  ili  wazae  kwa  kufuata  mfumo  wa  Uzazi  wa Mpango.

(xix)Kupiga  vita  matumizi  ya  Madawa  ya  kulevya  katika  jamii.

(xx)Kupiga    vita    Ajira  za  Watoto  katika  jamii.

 

 

IDARA  KUU  NA  MUHIMU  KATIKA  SHIRIKA  LA  SHAKE HANDS   YOUTH  ORGANIZATION(N.G.O)

 

  (i) IDARA  YA  VIJANA  NA  WANAWAKE.

  (ii) IDARA  YA  YATIMA,  WAJANE, WALEMAVU  NA  WAZEE.

  (iii) IDARA  YA  ELIMU  NA  ELIMU   YA  MAFUNZO  YA UFUNDI.

  (iv) IDARA  YA  AFYA.

   (V) IDARA  YA  FEDHA  NA  MIKOPO  MIDOGO MIDOGO.

   (vi) IDARA  YA  UTAWALA  BORA.

   (Vii) IDARA  YA  HABARI  NA  MAWASILIANO.

   (Viii) IDARA  YA  MAZINGIRA  NA  RASILIMALI  ZA  ASILI.

 

ORPHANS FROM FRIENDS OF DON BOSCO GOT A SUPPORTIVE HAND FROM THE N.G.O OF SHAKE HANDS YOUTH ORGANIZATION.(Get further informations below these images).

large.jpg

The organization through its programme of ''SUPPORT,CARE AND COMFORT SPECIAL NEEDY  PEOPLES' LIFE" as consolation giving to the needy people,last week on saturday, 8/05/2010 the Organization,had joined hand with a certain religious FBO, ''AMO-DORKAS" from Tabata Chang'ombe  to visit one of the orphanage centres in Dar es salaam -known as Friends of Don Bosco for the aim of supporting them materially and psycho-social counselling as a strong way of building capacity to orphans as well as comfort giving.The activities carried on that event were to provide food stuffs,garments,books,including exercisebooks and having a brief discussion on how we can combat HIV/AIDS spread to Orphans.While speaking to this special event, the Executive  Director of this organization, MWL.Murasi Abraham Joseph said that,children are vital human beings especially Orphans inwhich are supposed to be loved,cared as well as getting all rights of which they deserve to get.While cementing the point,Mwl.Murasi quoted one of the examples from the Holy Bible which depicted on how Jesus explained about the needy people as shown from the book of Mathew 25;35-40.However he also made a call to all partners to join their hands together inorder to rescue orphans' lives for the better future in our country.
May 11

 

PEOPLE LIVING WITH HIV/AIDS(PLHIV)  FROM DSM SAMARITAN GROUP RECEIVED DONA FLOUR AS A SUPPORTIVE HAND FROM  THE N.G.O OF SHAKE HANDS YOUTH ORGANIZATION TO KEEP ON LIVES.(Get a whole story below these photos)

large.jpg

 

The Organisation through its project known as ''SUPPORT,CARE AND COMFORT SPECIAL NEEDY PEOPLES' LIFE",had distributed 500kgs of donna flour of nutrients to People Living with HIV/AIDS group known as ''Dar es Salaam Samaritan Group'' with more than a hundred members inorder to strengthen their healthy. This event took place at the Ward Executive Office in Tabata Ward-Dar es Salaam  under The Ward Executive Officer as the Government Representative (Mrs.Emelda Kafanabo)who handled that urgent support to that special needy group in our community through the Leadership of the group.While receiving that support,the  chairperson of the group,Bi.Mariam Magafu acknowledged this help by saying that,this organisation is a real vibrant and supportive hand in the part of solving problems to the needy and special groups in the society.Likewise,the Ward executive Officer (Bi. Emelda Kaffanabo)appreciated the Organization for this requireable support provided by saying that Non-Governmental Organisations as strong stakeholders and partners of the Government must show a true heart of serving the community as their constitutions direct,insteady of being a burden and part of conflicts in the communities arround them.On behalf of the 0rganization,the Executive  Director Mwl.Murasi Abraham Joseph  said that, the Organisation is happy to collaborate with the government in terms of producing and rendering conducive services to the society arround.Appart from that activity,the Organisation is also paying school fees to six orphans for secondary education as well as vulnerable poor children from Marginalised Poor Families in the society through its Academic Institute which is situated at Tabata Ward,By the name''Rafiki Knowledge Secondary and Learning Centre.