WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI TABATA WAPEWA ELIMU JUU YA NJIA ZINAZOTUMIKA KUAMBUKIZA VVU/UKIMWI PAMOJA NA ATHARI ZA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA.
THE N.G.O's EXECUTIVE DIRECTOR Mwl.MURASI ABRAHAM JOSEPH provides the HIV AND AIDS Preventive education to the seminar before Tabata Primary School pupils.The seminar was held at Tabata Primary School Ground as the photo displayed above.
Program ya elimu ya mapambano dhidi ya maambukizi ya VVU/UKIMWI yazinduliwa mashuleni.
WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MTAMBANI WAKIPITIA VIPEPERUSHI VILIVYOTOLEWA NA ASASI YA ''SHAKE HANDS'' VYENYE ELIMU JUU YA NJIA ZINAZOTUMIKA KUAMBUKIZA VVU/UKIMWI NA ATHARI ZA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA.
Asasi ya Shake Hands Youth Organization imezindua rasmi mradi wa kutoa elimu ya mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI Kwa vijana wa shule za msingi na sekondari katika Kata nane za Manispaa ya Ilala,Dar es salaam.
Akizindua programu ya kutoa elimu ya mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI na athari za madawa ya kulevya kwa jamii,Mkurugenzi Mtendaji wa ''Shake Hands Youth Organization na Mkufunzi wa semina hiyo'' MWL.Murasi Abraham Joseph amewaasa wanafunzi wote nchini kuwa makini na kujiepusha kushiriki jambo lolote linaloweza kuhatarisha maisha yao na kupelekea kupata maambukizi ya VVU/UKIMWI.
Katika mradi huo Shule zote za Msingi na Sekondari ndani ya Manispaa ya Ilala katika kata nane ambazo ni Ukonga,Pugu,Kipawa,Chanika,Kitunda,Segerea,Tabata na Kinyerezi zitapata elimu juu ya njia zinazotumika kuambukiza VVU/UKIMWI pamoja na athari za matumizi ya dawa za kulevya kwa watumiaji
MALENGO NA MADHUMUNI YA ASASI(N.G.O).
YAFUATAYO NI MALENGO NA MADHUMUNI YA ASASI(N.G.O) KWA MUJIBU WA KATIBA YA ASASI;-
(i)Kupiga vita dhidi ya maambukizi ya VVU/UKIMWI Katika jamii za watanzania.
(ii)Kuratibu Mipango na miradi ya hiari yenye lengo la kuyasaidia makundi hatarishi/yanayoishi katika mazingira magumu kama vile Yatima, Walemavu,Wajane, Wanawake na Wazee.
(iii)Kuratibu shughuli na juhudi za maendeleo kwa lengo la kupunguza Umaskini wa kipato kwa Vijana na Wanawake.
(iv)Kuratibu rasilimali na kuunganisha juhudi za pamoja kwa ajili ya jitihada za maendeleo ya Vijana, Wanawake, Yatima na Walemavu
(v) Kuwawezesha, kuwasaidia na Kuwaunganisha au kuwakutanisha vijana kwa pamoja katika kutekeleza na kujadili shughuli mbalimbali zenye kuleta maendeleo kwa vijana.
(vi)Kuwajengea vijana Uwezo kwa lengo la kuwafanya wajiamini kushiriki kufanya maamuzi yenye tija katika shughuli mbalimbali za maendeleo yao.
(vii)Kuwajengea Uwezo vijana ili waweze kutambua na kutumia vipaji walivyonavyo kupitia mpango wa kubadilishana uzoefu toka katika mashirika mengine ya vijana,kuwafundisha vijana mambo mbalimbali ya maendeleo kupitia mpango wa mafunzo kambini kwa vijana ili jamii ipate vijana wenye Uwezo wa kujiletea maendeleo.
(viii)Kushirikiana na shule za Msingi, Sekondari, Vyuo, Vyuo Vikuu na Vyuo vyote vya Ufundi Nchini kwa lengo la kupenyeza elimu ya Afya ya uzazi katika jamii,Ujasiriamali pamoja na elimu ya kuzuia maambukizi ya VVU/Ukimwi kwa makundi yanayoishi katika mazingira magumu.
(ix)Kupiga vita mmomonyoko wa maadili katika jamii hususani kwa vijana na wanawake.
(x)Kutoa elimu na ushauri nasaha kwa vijana na wanawake kuhusu magonjwa ya kuambukizwa / Zinaa (Sexual Transmitted Diseases)
(xi)Kuendesha kituo cha Habari na taarifa, chenye lengo la kuwajengea Uwezo Vijana na Wanawake kuhusu mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo yao.
(xii)Kuendesha na kuratibu Mfuko wa mikopo kwa Vijana na Wanawake unaotoa mikopo midogomidogo kwa wajasiriamali kwa lengo la kuwawezesha Vijana na wanawake kiuchumi.
(xiii)Kuendesha mafunzo mbalimbali, semina,warsha na makongamano juu ya mambo mbalimbali yanayohusu vijana, yatima na wanawake.
(xiv)Kufanya tafiti mbalimbali zinazoathiri maswala mbalimbali ya maendeleo ya vijana, Wanawake na Yatima.
(xv)Kushirikiana na Mashirika ya Kimataifa na kitaifa katika shughuli mbalimbali zinazoleta ustawi wa maendeleo ya Vijana na Wanawake katika jamii.
(xvi)Kuendeleza mshikamano wa Vijana katika nchi yetu.
(xvii)Kuwatembelea Yatima na Wajane Katika Makazi yao mara kwa mara kwa lengo la kuwafariji na Kuwapa Msaada wowote wa haraka panapostahili.
(xviii)Kuwahimiza, kuwashawishi na kuwaelimisha vijana na Wanawake ili wazae kwa kufuata mfumo wa Uzazi wa Mpango.
(xix)Kupiga vita matumizi ya Madawa ya kulevya katika jamii.
(xx)Kupiga vita Ajira za Watoto katika jamii.
IDARA KUU NA MUHIMU KATIKA SHIRIKA LA SHAKE HANDS YOUTH ORGANIZATION(N.G.O)
(i) IDARA YA VIJANA NA WANAWAKE.
(ii) IDARA YA YATIMA, WAJANE, WALEMAVU NA WAZEE.
(iii) IDARA YA ELIMU NA ELIMU YA MAFUNZO YA UFUNDI.
(iv) IDARA YA AFYA.
(V) IDARA YA FEDHA NA MIKOPO MIDOGO MIDOGO.
(vi) IDARA YA UTAWALA BORA.
(Vii) IDARA YA HABARI NA MAWASILIANO.
(Viii) IDARA YA MAZINGIRA NA RASILIMALI ZA ASILI.
ORPHANS FROM FRIENDS OF DON BOSCO GOT A SUPPORTIVE HAND FROM THE N.G.O OF SHAKE HANDS YOUTH ORGANIZATION.(Get further informations below these images).

The organization through its programme of ''SUPPORT,CARE AND COMFORT SPECIAL NEEDY PEOPLES' LIFE" as consolation giving to the needy people,last week on saturday, 8/05/2010 the Organization,had joined hand with a certain religious FBO, ''AMO-DORKAS" from Tabata Chang'ombe to visit one of the orphanage centres in Dar es salaam -known as Friends of Don Bosco for the aim of supporting them materially and psycho-social counselling as a strong way of building capacity to orphans as well as comfort giving.The activities carried on that event were to provide food stuffs,garments,books,including exercisebooks and having a brief discussion on how we can combat HIV/AIDS spread to Orphans.While speaking to this special event, the Executive Director of this organization, MWL.Murasi Abraham Joseph said that,children are vital human beings especially Orphans inwhich are supposed to be loved,cared as well as getting all rights of which they deserve to get.While cementing the point,Mwl.Murasi quoted one of the examples from the Holy Bible which depicted on how Jesus explained about the needy people as shown from the book of Mathew 25;35-40.However he also made a call to all partners to join their hands together inorder to rescue orphans' lives for the better future in our country.
May 11
PEOPLE LIVING WITH HIV/AIDS(PLHIV) FROM DSM SAMARITAN GROUP RECEIVED DONA FLOUR AS A SUPPORTIVE HAND FROM THE N.G.O OF SHAKE HANDS YOUTH ORGANIZATION TO KEEP ON LIVES.(Get a whole story below these photos)

The Organisation through its project known as ''SUPPORT,CARE AND COMFORT SPECIAL NEEDY PEOPLES' LIFE",had distributed 500kgs of donna flour of nutrients to People Living with HIV/AIDS group known as ''Dar es Salaam Samaritan Group'' with more than a hundred members inorder to strengthen their healthy. This event took place at the Ward Executive Office in Tabata Ward-Dar es Salaam under The Ward Executive Officer as the Government Representative (Mrs.Emelda Kafanabo)who handled that urgent support to that special needy group in our community through the Leadership of the group.While receiving that support,the chairperson of the group,Bi.Mariam Magafu acknowledged this help by saying that,this organisation is a real vibrant and supportive hand in the part of solving problems to the needy and special groups in the society.Likewise,the Ward executive Officer (Bi. Emelda Kaffanabo)appreciated the Organization for this requireable support provided by saying that Non-Governmental Organisations as strong stakeholders and partners of the Government must show a true heart of serving the community as their constitutions direct,insteady of being a burden and part of conflicts in the communities arround them.On behalf of the 0rganization,the Executive Director Mwl.Murasi Abraham Joseph said that, the Organisation is happy to collaborate with the government in terms of producing and rendering conducive services to the society arround.Appart from that activity,the Organisation is also paying school fees to six orphans for secondary education as well as vulnerable poor children from Marginalised Poor Families in the society through its Academic Institute which is situated at Tabata Ward,By the name''Rafiki Knowledge Secondary and Learning Centre.