Envaya
Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania
Majadiliano
Wafanyakazi wa kujitolea
(2)
Nashukuru MAUJATA kwa kazi kubwa mnayoifanya kufikisha hudumu yenu kwa jamii ya Watanzania songeni mbele.
4 Julai, 2014 na Juma Shabani
ONGEZEKO LA MAAMBUKIZI YA VVU/UKIMWI
(3)
kuna sababu moja mimi naiona kuba sana.USIRI wa ukimwi unaowekwa na muusika wa umimwi na nchi mana ikumbukwe kwamba siku za hivi karibuni vijana wengi wamekuwa wakijiua mara tu wanapojua ni waasirika lakini swali linakuja...
5 Machi, 2013 na Mjamaa
Majadiliano mengine kwenye Envaya
Ongeza Mada Mpya