Injira
MWELA THEATRE TAWI LA VUGA

MWELA THEATRE TAWI LA VUGA

WILAYA YA LUSHOTO KATA YA VUGA , Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Kikundi cha ngoma kijulikanacho Mount Usambara Voice kikitoa burudani katika mkutano huo

large.jpg

Mratibu wa Chama cha maendeleo ya kiuchumi na Kijamii vuga (CHAMAKIVU) Jumaa Dhahabu akiwa na shehe wa Kata ya Vuga Jimbo la Bumbuli wakiwa eneo la Mkutano

large.jpg

Katibu wa CCM wilaya ya Lushoto Bw. Loth Ole Lemeirut (kushoto)na mwanakamati wa shirika la Bumbuli Bw. Naaman Shauri wakifuatilia kwa umakini mada iliokuwa ikiendelea katika mkutato huo

large.jpg

Mzee Yusuphu Makamba akiwa na Kikundi cha ngoma kijulikanacho Mount Usambara Voice kikitoa burudani katika mkutano huo

large.jpg

Wakazi kutoka jimbo la bumbuli wakiwa katika mkutano wa kujadili maendeleo ya ya Bumbuli

large.jpg

Mzee Yusuphu Makamba akiwa na Kikundi cha ngoma kijulikanacho Mount Usambara Voice kikitoa burudani katika mkutano huo

large.jpg

Mkurugenzi wa shirika la Bumbuli Bw. Najim Msenga (kushoto), mwenyekiti mteule wilaya ya Bumbuli Bw. Amiri Sheiza (kulia)katibu wa CCM wilaya ya Lushoto Bw. Loth Ole Lemeirut (katikati)wakijadiliana jambo mara baada ya kumalizika kwa mkutano huo leo

large.jpg

Kikundi cha ngoma kijulikanacho Mount Usambara Voice kikitoa burudani katika mkutano huo

large.jpg

Mbunge wa jimbo la Bumbuli Mhe. January Makamba akiongea na wakazi kutoka wilaya ya Lushoto jimbo la Bumbuli katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam leo mkutano huo ulikuwa unajadili maendeleo ya jimbo la Bumbuli na kutambulisha shirika la maendeleo la Bumbuli, January Makamba amesema katika kipindi cha mwaka 2011-2012 kiwango cha elimu ya wilaya hiyo imekuwa chini na kusababisha vijana wengi katika mkoa wa Tanga kuwa na sifa ya kuuza chipsi na kubeba mizigo badala ya kufanya kazi kwenye makampuni

Tangazo :Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, Mheshimiwa Januari Makamba  anapenda kuwaalika wenyeji wa Jimbo  la Bumbuli waishio Mkoa wa Dar-es-Salaam na Mkoa wa Pwani katika mkutano utakaojadili maandeleo ya Jimbo lao.  Mkutano utafanyika tarehe 4/8/2012 katika ukumbi wa KARIMJEE jijini DSM kuanzia saa tatu hasubuhi hadi saa saba mchana tafadhali  ukilipata tangazo ili mtaalifu na mwenzako

 

wako mwenyekiti wa mwela theatre group vuga  Salimina Magogo