Log in
PANGANI COAST CULTURAL TOURISM PROGRAMME

PANGANI COAST CULTURAL TOURISM PROGRAMME

PANGANI, Tanzania

Tanzania Tourism beats Gold earnings. Back to number one

Dar es Salaam.

Travel has surpassed gold as Tanzania’s leading foreign exchange earner. The latter has suffered some shocks in recent months following falling prices at the world market.
The Bank of Tanzania said in its September Monthly Economic Review that the value of gold export declined from $2.15 billion in the year ending September 2012 to $1.748 billion in the year ending September 2013 while tourism surged from $1.61 billion to $1.82 billion during the same period.
Export value of gold declined following a decrease in both export volume and unit price. Export unit price for gold declined by 8.2 per cent to an average of $1,524.59 per troy ounce from the price recorded in the year ending September 2012, according to the central bank review.
The fall of gold export partly affected the performance of export of goods and services that declined 1.4 per cent to $8.242 billion during the year ending September this year compared to $8.362 billion recorded in the corresponding period in 2012.
“Despite the decline in export values, gold and manufactured goods continued to dominate nontraditional exports,” the MER shows in part.
However, overall balance of payments recorded a surplus of $419.5 million compared with a surplus of $593.4 million recorded in the corresponding period in 2012.
The narrowing of the surplus was partly explained by a widening of the current account deficit.
The current account deficit, according to the BoT, widened by 26.1 per cent to $4.676 billion in 12 months to September pushed by Official current transfers declined by 43.7 per cent from the levels recorded in the year ending September 2012, said the central bank.
Data also shows that the value of import of goods and services increased by 2.9 per cent to $10.847 billion from the levels recorded in the year ending September 2012, topped by oil at $4.15 billion this September .

Gross official reserves amounted to $4.59 million as at end of September 2013, sufficient to cover 4.5 months of projected imports of goods and services excluding those financed by foreign direct investment.
More information: http://www.thecitizen.co.tz/Business/Tourism-beats-gold-in-earnings/-/1840414/2070898/-/qbw04i/-/index.html

TAARIFA KWA VYOMBO KWA HABARI

MAONESHO YA KITALII YA WTM YAENDELEA LONDON -UINGEREZA


Maonesho ya Utalii yajulikanayo kama World Travel Market – WTM ambayo hufanyika mjini London, nchini Uingereza kila mwaka, mwaka huu yameanza tarehe 4 na yataendelea hadi tarehe 7 Novemba, 2013. Jumla ya Kampuni 47 kutoka Tanzania zinashiriki maonesho haya katika banda la Tanzania, chini ya uratibu na usimamizi wa Bodi ya Utalii Tanzania-TTB.

Maonesho haya yanafanyika wakati Tanzania, katika miaka ya hivi karibuni, imetambuliwa na taasisi mbalimbali duniani kwa ubora wa vivutio vyake na kuimarika kwa utalii katika maeneo mbalimbali. Taasisi ya World Economic Forum iliiweka Tanzania katika nafasi ya pili duniani, baada ya Brazil, kwa ubora wa maeneo ya wanyamapori ambayo yana aina nyingi za wanyama. Taasisi za Lonely Planet na New York Times ziliitaja Tanzania kuwa ni nchi nzuri ya kutembelewa na wageni wanaopendelea vivutio vya asili. Aidha Taasisi ya Seven Natural Wonders nayo ilitangaza vivutio vitatu vya Tanzania ambavyo ni Hifadhi ya Serengeti, Hifadhi ya Ngorongoro, na Mlima Kilimanjaro kuwa miongoni mwa maajabu saba ya asili ya Bara la Afrika. Nayo taasisi ya Safari Bookings.com imeiweka Tanzania kama kituo cha Utalii (tourist destination) cha kwanza kwa ubora katika Bara la Afrika.

Utafiti wa hivi karibuni, uliofanywa na taasisi ya CheapOAir,  umeonesha kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza ambayo watalii wa kipato cha wastani wameanza kuitembelea kwa wingi, baada ya kupungua kwa nauli za ndege kwa asilimia sita, wakati nauli za kwenda kwa washindani wetu wengine zimepanda. Moja ya sababu za kushuka kwa nauli za ndege ni kutokana na ushindani wa mashirika kadhaa ya ndege ambayo kwa sasa yanatua katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro, hususan KLM, Qatar Airways, na Turkish Airlines. Mashirika mengine ni Kenya Airways na Ethiopian Airlines.

Baadhi ya mawakala wa Utalii wameeleza uwezekano wa kuongezeka kwa idadi ya watalii zaidi ya 1,077,058 iliyofikiwa 2012. Wamedokeza kuwa bookings za watalii zimeongezeka kwa 50% zaidi ya zile za 2012. Kutokana na hali hii, inatarajiwa kwamba hadi Desemba 2013, idadi ya watalii itakuwa imeongezeka kwa zaidi ya asilimia ya 20%.

Uingereza ni soko linaloongoza kwa idadi kubwa ya watalii wanaotembelea Tanzania, ambapo mwaka 2012 watalii 70,000 walikuja kutoka Uingereza pekee. Maonesho haya ya WTM ni moja ya njia ya kuitangaza Tanzania katika soko hili ,kwa lengo la  kuongeza idadi ya watalii kutoka Uingereza na sehemu nyingine duniani.

 

Imetolewa na:

Bodi ya utalii Tanzania

Tanzania edges Kenya in mid-income tourism

TANZANIA is the most sought after destination for leisure travel especially among middle income class while Kenya is tenth, a new survey by online travel agency CheapOair shows.

Sanje waterfalls at Udzungwa National Park

The survey showed that a decrease cost of a return ticket to the top ten destinations has led to the rise in popularity among tourists, especially now when most are looking for budget leisure packages.
- For more information:

TANZANIA TOURIST BOARD ANNOUNCES 2013 ANNUAL TOURISM AWARD WINNERS

PRESS RELEASE:

(October 1, 2013, New York, NY) Tanzania Tourist Board (TTB) announced the 2013 winners of the annual TTB Tourism awards. Hon. Amb. Khamis Kagasheki, Minister of Natural Resources and Tourism joined by Hon. Amb. Liberata Mulamula, Tanzania Ambassador to the United States presented awards to three of the honorees at the Africa Travel Association (ATA) eighth annual Presidential Forum held at New York University.

The three honorees who received the TTB Award in New York were: Click here to read more

From Left to right: Hon. Amb. Liberata Mulamula, Tanzania Ambassador to the United States; Tova Syrowics, Travel Editor, Elite Traveler Magazine; and Hon. Amb. Khamis Kagasheki, Tanzania Minister of Natural Resources and Tourism.

David Schwenk, African Travel, Inc. accepting Tanzania Tourist Board Award at Africa Travel Association’s Presidential Forum in New York presented by Hon. Amb. Khamis Kagasheki, Minister of Natural Resources and Tourism.

From Left to Right: Hon. Amb. Liberata Mulamula, Tanzania Ambassador to the United States; Kent Redding, President, Africa Adventure Consultants; and Hon. Amb. Khamis Kagasheki, Tanzania Minister of Natural Resources and Tourism.

 

 

 

OFISI YA TTB KANDA YA ZIWA MWANZA YAZINDULIWA RASMI

Geofrey Tengeneza

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu (MB) ameiambia ya Bodi ya Utalii Tanzania – TTB kuwa tatizo la sugu bajeti isiyotosheleza mahitaji ya Bodi hiyo katika kutekeleza majukumu yake litapatiwa ufumbuzi kwa kiasi kikubwa mara baada ya fedha kwa ajili ya mfuko wa maendeleo ya Utalii (Tourism Development Levy kuanza) kuanza rasmi ambapo moja ya vyanzo vyake vya fedha ni tozo la kitanda siku kwa watalii watakaokuwa wakilala katika hoteli mbalimbali.

Ofisi ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kanda ya ziwa iliyoko katika jingo la hotel ya Mwanza muda mfupi kabla ya kuzinduliwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu (MB).

Mheshimiwa Nyalandu ameyasema hayo wakati akizindua ofisi ya Bodi ya Utalii kanda ya ziwa iliyoko jijini Mwanza. Amesema Bodi ya Utalii inapaswa kutengewa bajeti ya kutosha kuiwezesha kumudu ushindani uliopo wa kutangaza vivutio vyetu katika masoko ya watalii na kuvutia watalii wengi. “ Tuiwezeshe kwanza TTB kwa kuipa fedha za kutosha kutekeleza majukumu yake ndipo tuwaluamu wakishindwa” alisema. Kuzinduliwa kwa ofisi ya TTB mkoani Mwanza ambako kumefanyika sambamba na maadhimisho ya siku ya Utalii duniani ni jitihada za Bodi ya Utalii Tanzania kusogeza huduma zake zaidi kwa wananchi ambapo ofisi hii ya Mwanza ni ya tatu, baada ile ya Kanda ya Kaskazini na ile ya Kanda ya nyanda za juu Kusini iliyoko mjini Iringa. Ofisi hii ilianza kazi jijini Mwanza tangu Novemba 11, 2011 ambapo awali ilianzia katika eneo la Kapripointi kabla ya kuhamia katika jengo la hoteli ya Mwanza (Mwanza Hotel) katikati ya jiji hili la Mwanza Desemba 27, 2012.

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazro Nyalandu (MB) akizungumza na wandishi wa habari ndani ya ofisi ya Bodi ya Utalii Tanzania – TTB kanda ya ziwa jijini Mwanza muda mfupi baada ya kuizindua. Kushoto ni Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania Dr. Aloyce Nzuki.

Tangu kufunguliwa na kuanza kutoa huduma mkoani Mwanza ofisi hii ya bodi ya Utalii imepata mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa idadi ya wageni hususan wa nje wanaotembele ofisi hii ili kupata taarifa ya vivutio vya utalii vilivyopo hapa Mwanza na Kanda ya ziwa kwa ujumla. Kwa mfano kuanzia Desemba 26, 2012 hadi Machi 2013 idadi ya wageni waliotembelea ofisi yetu walikuwa 102; kuanzia Aprili hadi June 2013 walikuwa 97; na kuanzia Julai hadi tarehe 27/9/2013 ofisi hii ilopozinduliwa rasmi idadi ya wageni imefikia 242. Hivyo jumla ya wageni (watalii) kutoka nje ya nchi waliotembelea na kupata taarifa za utalii katika ofisi yetu toka imefunguliwa ni 441.

Kikundi changoma kutoka kituo cha utamaduni cha Bujora mkoani Mwanza kikitoa burudani ya ngoma ya kucheza na chatu mbele ya ofisi ya Bodi ya Utalii kanda ya ziwa jijini Mwanza mara tu baada ya mgeni rasmi Naibu Waziri Lazaro Nyalandu kuwasili ofisini hapo ili kuizindua ofisi hiyo.

Mafanikio mengine ni pamoja na Bodi ya Utalii kupitia kitengo chake cha Utalii wa Utamaduni (Cultural Tourism Program) kwa kushirikiana na ofisi hii ya Kanda kuanza kutoa huduma za ushauri wa kuendesha kuiutaalamu zaidi shughuli za Kikundi cha Utalii wa Kitamaduni cha Kisesa (Kisesa Eco & Cultural Tourism). Tunatambua na kushirikiana na Kituo cha Kumbukumbu cha Kabila la Wasukuma cha Bujora na ambacho tumekuwa tukikitangaza kwa muda mrefu sasa kama moja ya vivutio vilivyoko hapa Mwanza. Aidha ofisi yetu hii ya Kanda hapa Mwanza mpaka sasa imeweza kutoa nafasi ya mafunzo kwa vitendo kwa Wanafunzi sita kutoka vyuo mbalimbali kikiwemo Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino-SAUT. Aidha kupitia ofisi ya Kanda Bodi ya Utalii Mwezi Februari ilileta mkoani Mwanza wandishi wa habari wa kimataifa wawili kutoka Uturuki ili kuandika na kupiga picha vivutio vya utalii vilivyopo mkoani Mwanza kwa lengo la kuvitangaza katika nchi hiyo.

Kufunguliwa kwa ofisi hii ya Kanda kutasaidia kwa kiasi kikubwa sana katika kuvitangaza vivutio vya utalii vya hapa Mwanza na Kanda ya ziwa na itakuwa ni chachu ya maendeleo ya sekta ya utalii mkoani Mwanza na katika Kanda ya ziwa kwa ujumla.

TTB PRESENTS INTERNATIONAL MARKETING STRATEGY TO DIPLOMATIC CORPS

Tanzania Tourist Board (TTB) in collaboration with Tourism Confederation of Tanzania (TCT) presented the International Marketing Strategy to Ambassadors whose countries are among the major tourist source markets for Tanzania Read More

MAADHIMISHO YA SIKU YA UTALII DUNIANI YAFUNGULIWA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng. Evarist Ndikilo ameipongeza Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwa kufungua ofisi jijini Mwanza kwa kuwa hatua hiyo itaharakisha maendeleo ya sekta ya utalii mkoani Mwanza na Kanda ya ziwa na amewataka wananchi wa Mwanza kukuza utalii wa ndani kwa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo Mwanza, Kanda ya ziwa na Tanzania kwa ujumla na kuondokana na dhana kuwa utalii ni kwa ajili ya wazungu tu.   Bofya hapa kuapata habari zaidi.

 

 

 

 

 

TAARIFA KWA UMMA

 

BODI YA UTALII TANZANIA


Maadhimisho ya sikukuu ya Utalii Duniani Kitaifa Mwaka huu yatafanyika Mkoani Mwanza kuanzia tarehe 22-29/9/2013 Septemba.  Kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu ni “Utalii na Maji – Kulinda Hatma yetu (Tourism and Water  – Protecting Our Common Future) Shughuli zote za maadhimisho hayo zitafanyika katika uwanja wa Nyamagana.

 

Pamoja na shughuli mbalimbali zitakazofanyika  kutakuwepo pia  na maonesho yakiwemo ya utalii, malikale, misitu na masuala ya uhifadhi kwa ujumla, na teknlojia mbalimbali. Aidha kutakuwepo pia safari za kutembelea Hifadhi mpya ya Taifa ya Saanane.  Wananchi wote mnaombwa kujitokeza na kushiriki katika maadhimisho hayo.

 

Utalii uanze kwa Mtanzania mwenyewe.

Imetolewa na:

Mkurugenzi Mwendeshaji

SUNDERLAND AFC PRESENTS JERSEYS TO TANZANIA

The Managing Director of Tanzania Tourist Board, Dr. Aloyce K. Nzuki (Second Left) talks to the member of the press at the event of English Premier League Sunderland Football Club’s jersey presentation held at New Africa Hotel. Dar es Salaam.

The Commercial Director of Sunderland Association Football Club of England, Mr. Gary Hutchinson (second right) talks with during press conference at New Africa Hotel Shortly before presenting Sunderland AFC’s jersey to Dr. Aloyce K. Nzuki, The Managing Director of Tanzania Tourist Board (Second left), who received it on behalf of the Minister of Natural Resources and Tourism, and to Mr. Leonard Thadeo , the Director of Sports (first left) on  behalf of the Minister for Information, Youth, Culture and Sports.

The Sunderland Association Football Club’s Commercial Director, Mr Gray Hutchinson (second right) presenting a jersey to the Tanzania Tourist  Board’s Managing Director, Dr. Aloyce K. Nzuki on behalf of The  Minister for Natural Resources and Tourism, Hon. Ambassador Khamis Kagasheki.

The Director of Sports Mr. Leonard Thadeo (left) receives a Sunderland Association Football Club’s jersey on behalf of The Minister for Information, Youth, Culture and Sports, Dr. Fenella Mukangara from the Commercial Director of The English Premier League Club.

 

 


 

1. The Director of Sports Mr. Leonard Thadeo (left) receives a Sunderland Association Football Club’s jersey on behalf of The Minister for Information, Youth, Culture and Sports, Dr. Fenella Mukangara from the Commercial Director of The English Premier League Club.