Envaya

KWA NINI INASHAURIWA KITAALAMU KUMNYONYESHA MTOTO MPAKA AFIKISHE WALAU UMRI WA MIAKA MIWILI??

TANZANIA HOME ECONOMICS ASSOCIATION-TAHEA (CHAMWINO DISTRICT)
September 1, 2014 at 4:20 PM EAT

Katika jamii nyingi suala hili limekua changamoto kubwa kwani watoto huachishwa kunyonya hata kabla ya kufikia umri huo. je mikakati ipi inaweza kusaidia kupunguza tatizo hili ili kuwa na watoto wenye afya kimwili na kiakili, pia kupunguza hali ya udumavu kwa watoto.


Add New Message

Invite people to participate