Fungua
TANZANIA YOUTH NEW FASHION

TANZANIA YOUTH NEW FASHION

Tabora, Tanzania

FOMU YA TAARIFA YA MWEZI KUTOKA FIELD

1.Jina la shirika 2.jina la mradi 3.wilaya 4.imetayarishwa na 4.tarehe 5.imepitishwa na

-vijiji vilivyotembelewa, lengo la matembezi 3. changamoto zilizojitokeza 4. kutokana na changamoto hizo unapendekeza nini kifanyike? 5. ni jambo gani jipya ililojifunza? 6. ainisha vipengele muhimu vya kushughulikiwa 7.unafikiri liboreshwe vipi? 8. hadithi ya mafanikio

lengo la shirika letu ni kutokomeza vikwazo vya maendeleo na kuhakikisha kila binadamu anaishi maisha bora, hasa makundi yaliyosahaulika katika jamii na yanayoishi katika mazingira hatarishi.

ikiwa jamii inatambua ya kwamba watoto ni wetu sote kwanini isijitoe kuwalea? hii inaonesha kwamba jamii inathamini zaidi watoto wao wa kuwazaa na kuwaacha wengine wakitaabika hivyo kauli ya pamoja tuwalee inabaki kama msemo tu tena usio na faida yoyote kwa taifa, hii inafanya taifa kuzidi kuwa masikini kwani pengine hao tunaowaacha wangesoma wangeweza kuwa mawaziri au hata viongozi wakubwa katika ngazi za juu.

Kulingana na ukubwa wa tatizo la watoto walio katika mazngira hatarishi serikali na wadau wengine wametakiwa kufuatilia kwa ukaribu kumbkumbu za watoto waliosajiliwa awali ili kujiridhisha na usahihi wa takwimu za awali na takwimu mpya.

 

TAARIFA YA UHUWITSHAJI WA TAARIFA ZA WATOTO WANAOIHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI KATIKA KATA YA TUTUO-SIKONGE TAREHE 22.06.20012

Kutokana nautafiti uliofanyika imeonesha kwamba watoto walio katoka mazingita hatarishi walio chini ya miaka 18 ni 220, wanawake wakiwa ni123 na wanaume ni 97. Kulingana na takwimu hizo wafadhili na wadau wa maendeleo wameziomba kamati za watoto waishio katika mazingira hatarishi kuweza kuzibaini familia zinazolea watoto hao na kuwasajili katika fomu za usajili wa familia ili waweze kupatiwa huduma kulingana na mahitaji yao.

MAFANIKIO

Wazazi na walezi watoto wameelewa na kutumia mbinu mbadala walizopewa kwa njia ya mafunzo juu ya kutumia rasilimali walizonazo kujiingizia kipato