Envaya

DHIMA YETU ni    Kuwa na jamii yenye usawa na isiyobagua katika nyanja zote ,kiuchumi,kisiasa na kijamii na inayojumuisha makundi yote(kila raia )wa Tanzania.

 

DIRA YETU ni

Kutengeneza mikakati itakayoibua na kutetea  haki za binadamu,wanawake na watoto kwa kuwajengea uwezo uhamasishaji mawasiliano ,  na kuwa na mahusiano na serikali na vyombo visivyo vya ki serikali kitaifa na kimataifa

7 Februari, 2012
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.