Envaya
Parts of this page are in Swahili. View in English · Edit translations

Mwezi wa saba yocoso tumeweza kumaliza shughuli za mradi wa AMKA  uliolenga kutoa Elimu juu ya athari za matumizi ya  dawa za kulevya miongoni mwa vijana. shughuli za Mradi zilikuwa na mafanikio kwani tuliweza kuwafikia vijana walengwa katika maeneo yao na kuweza kuongea nao kupitia shughuli zilizopangwa kufanyika katika Mradi,

Katika Mwezi  wa saba tulikuwa tukifanya matukio ya kijamii ( matamasha) yaliyolenga kutoa elimu kwa vijana juu ya athari zitokanazo na matumizi yaDawa za Kulevya. Matamasha hayo yalifanyika katika kata ya Njoro mtaa wa sokoni,kaloleni mtaa wa CCM na Pasua sokoni.

August 6, 2010
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.