Fungua
Upimaji wa afya na maendeleo

Upimaji wa afya na maendeleo

Sumbawanga, Tanzania

FCS Narrative Report

Utangulizi

upimaji wa afya na maendeleo
uwama
mafunzo ya usimamizi wa miradi
fcs/rsg/1/10/117
Tarehe: january 1/2011Kipindi cha Robo mwaka: march 31/2011
Deo crispin

Maelezo ya Mradi

Uimarishaji Asasi za Kiraia
Ni kutoa mafunzo kwa viongozi 6 wanachama 14 wa asasi.
mafunzo ya:usimamizi wa miradi , utawala bora ndani ya asasi usimamizi wa fedha na utayarishaji wa kumbukumbu za fedha
MkoaWilayaKataVijijiIdadi ya Wanufaika
Rukwasumbawanga mjinikatandalajangwani20
 Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wanawake5(Hakuna jibu)
Wanaume2(Hakuna jibu)
Jumla7(Hakuna jibu)

Shughuli na Matokeo ya Mradi

uelewa na uwezo wa viongozi katika uandaaji na usimamizi wa mradi
kuwepo kwa mifumo ya uongozi na usimamizi ulio wazi inayo wajibika ndani ya asasi.
kuimarika kwa uwezo wa usimamizi wa utunzaji wa fedha ndani ya asasi .
kuwepo kwa muongozo wa fedha na kanuni za fedha.
kutoa mafunzo ya siku 3 kwa viongozi katika ubunifu na usimamizi wa miradi.
kutoa mafunzo ya siku moja ya utawalandani ya asasi kufanya tathmini ya uwezo ndani ya asasi.
kutoa mafunzo ndani ya siku 2 ya utunzaji wa daftari la fedha kwa wanachama 14 na viongozi 6.
kuandaa mwongozo na kanuni za usimamizi wa utawala wa fedha.
gharama za utawala.
viongozi 7 wamepata ubunifu na usimamizi wa miradi ulio sahihi.
viongozi 6 na wanachama 14 wamepata mafunzo ya siku moja juu ya mifumo ya utawala ndani ya asasi
viongozi 6 na wanachama 14 wa mepata mafunzo ya siku 2 juu ya utunzaji wa daftari la fedha na kumbukumbu za fedha .
viongozi 6 na wanachama 14 wamepata mafunzo ya mwongozo na kanuni za utawala na usimamizi wa fedha.
posho ya mweka hazina na mratibu pango la ofisi ,ununuzi wa meza na shajala.
Hakuna tofauti
953,500
740,300
1,480,600
740,300

Mafanikio au Matunda ya Mradi

viongozi wa asasi wamepata uelewa wa kusimamia miradi ya asasi.
viongozi na wanachama wamepatauelewa , utunzaji wa mahesabu kumbukumbu za mahesabu
na mifumo ya fedha na kanuni za fedha .
kuna usimamizi mzuri wa miradi
utawala ndani ya asasi upo wazi
kumekua na taratibu za utumishi na mikataba ya kazi imewekwa kwa wanachama wote.
tumetengeneza kanuni za fedha na zina tumika sasa

viongozi na wanachama wana elewa hatua za uandaaji wa miradi na kuusimamia .
Tija imeongezeka katika usimamizi wa fedha
Matumizi holele ya fedha yame kwisha.

Elimu waliopata kupitia mafunzo haya ya kujengewa uwezo wa kusimamia miradi,utawala ndani ya asasi,usimamizi mifumo na kanuni za fedha.

Mambo Mliyojifunza

Maelezo
Tumejifunza jinsi ya kuandaa na kusimamia miradi.
Tumejifunza mifumo ya utawala gbora ,usimamizi ulio wazi ,uwajibi kaji ndani ya asasi.
Tumejifunza utunzaji wa kumbukumbu za fedha ,ujazaji wa daftari la fedha{anlysis book}
uandaaji wa fom ya maombi ya fedha uandikaji wa hati ya malipona uandaaji wa bajeti.
Tumejifunza mwongozo na kanuni za fedhana ,utawala wa fedha ndani ya asasi na mifumo ya fedha.
Tumejifunza mifumo ya ununuzi na ugavi ,.pamoja na hati zitumikazo wakati wa ununuzi.
Hati zitumikazo katika kuandaa malipo

Changamoto

ChangamotoNamna mlivyokabiliana nazo
Fedha ya kufanyia mradi ilichelewa kufikaTulibadirisha tarehe za kuanza mradi

Mahusiano

WadauNamna mlivyoshirikiana nayo
Anglican church sumbawangawalititukodishia ukumbi
wawezeshaji wawili walitoka anglican
ofisi ya mkurugtenzi wa manispaa ufunguzi wa mafunzo
ofisi ya mkuu wa mkoamwezeshaji mmoja alitoka ofisi ya mkuu wa mkoa

Mipango ya Baadae

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
mradi wetu ulikua wa robo mmoja tu!

Walengwa Waliofikiwa

    Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wajane na WaganeWanawake----------(Hakuna jibu)
Wanaume---------(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWIWanawake11(Hakuna jibu)
Wanaume9(Hakuna jibu)
Jumla20(Hakuna jibu)
WazeeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watoto YatimaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WatotoWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wenye UlemavuWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
VijanaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wengineWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
(Hakuna jibu)

Matukio Mliyoyahudhuria

Aina ya TukioLiniMambo uliyojifunzaHatua zilizochukuliwa
mafunzo ya usimamizi wa ruzuku yalio fanyika DODOMAnovemba 2010jinsi ya jusiya kusimamia miradikutoa marejesho kwa wenzetu na kufanya mafunzo
mifumo ya usimamizi wa fedha na utunzaji wa fedha7-11/2/2011utunzawa kumbukumbu za fedha
mifumo ya fedha mifumo ya ugavi na ununuzi
kutoa marejesho kwa wenzetu na kutengeneza mifumo ya fedha .

Viambatanisho

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.