Fungua
Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania

Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania

Morogoro, Tanzania

Maeneo ya ukurasa huu ni kwa Kiingereza. Hariri tafsiri

large.jpg

Training on environmental conservation in relation to the dairy cows provided.

large.jpg

District veterinary officer providing training to the beneficiaries at chohero village Homboza ward.

large.jpg

Some of the families have started to enjoy real benefits of keeping a dairy cow not withstanding the fact that they are now using biogas as cooking energy.Here a beneficiary has calf.

large.jpg

In most communities along Eastern Arc Mountain women are the ones who collects fire-woods. This action has leads to the destruction of forests.

POVERTY  REDUCTION  USING ENVIROMENTAL CONSERVATION

    In trying to ensure that  enviromental conservation go hand in hand with poverty eraducation among  people living along Mt.Uluguru, a four days  workshop was carried on what best should be done.The result of which tree &fruit nursuries where established  to produce seedlings and altenative enviromental friendly income generating activities were also estblished.

Morden beehives as an income

generating activity.

 

 

 

socio-economic activities  should not be perfomed on mountain caps such as this mountain Cap found in Uluguru mountain which has been made to be a home.





 

CMMUT has come up with a FIVE YEAR DEVELOPMENT STRATEGIC PLAN (SP) which was developed after a number of discussions and meetings with beneficiaries and groups involved in Environmental Conservation in Mvomero and Morogoro districts. It took almost a month to come up with this PLAN which was developed through PARTICIPATORY meetings involving beneficiaries (see images), leaders and opinion leaders.

Environment being a key factor to development, CMMUT has through this Strategic plan sought of a way in which environment could be conserved whilst improving standards of living among inhabitants along the Uluguru Mountains (part of the famous Eastern Arc Mountain).This is only possible by creating alternative Income generating Activities, building capacities of individuals and establishment of trees and fruits nurseries to be planted in the open capes of mountains.

The total package for five years is expected to be $900,000. Annual plans will be drawn from the SP for implementation.

It is our expectation that implementation of this Plan will change positively the livelihood of the people along Mount Uluguru as well as conserving the environment for

Sustainable Development

.

CMMUT and the beneficiaries will accept any helping hand intended to fulfill the desired Goal.

 

 

FCS Narrative Report

Utangulizi

Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania
CMMUT
Uboreshaji wa Utunzaji wa Misitu na Vyanzo vya Maji katika Milima ya Uluguru
FCS/MG/3/091
Tarehe: August-OctobaKipindi cha Robo mwaka: NNE
ELIBARIKI KWEKA

Maelezo ya Mradi

Sera
Kuhamasisha wananchi ili kuinua uelewa wao juu ya kuhifadhi misitu na vyanzo vya maji ni maswala ya Sera.Mradi huu ulilenga kutoa mafunzo kwa wananchi ili wawe na uelewa kwamba kuhifadhi misitu kutawaondoa katika umaskini uliotopea.
MkoaWilayaKataVijijiIdadi ya Wanufaika
MorogoroMvomeroMlali na DomaDoma ,Kihondo,Msongozi,Mkata,Melela,Mlali, Peko,Manza,Homboza,Kiperaza,5770
 Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wanawake472755
Wanaume733015
Jumla1205770

Shughuli na Matokeo ya Mradi

Jamii ya watu wa kata za Doma na Mlali sasa wanafahamu umuhimu wa kuhifadhi na utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji.`
Ufuatiliaji na tathmini ya matokeo ya mafunzo na midahalo iliyofanyika.
Waratibu wawili kutoka CMMUT wakifuatana na afisa misitu wa wilaya ya Mvomero walitembelea vijiji 9 vya Tarafa ya Mlali ili kufuatilia matokeo ya mafunzo yaliyokwisha fayika.
Shughuli zimefanyika kwa wakati wake
Tshs. 3,800,000/=

Mafanikio au Matunda ya Mradi

Ufuatiliaji umefanyika vizuri na kwa ushirikiano.Kwa kuwa tulikuwa tunataka kuona matokeo ya mafunzo,ni kweli kuna mafanikio ya kutosha sana,maana wanavijiji walianzisha vikundi vya mazingira na wakaanzisha vitalu vya miche ambayo kwa sasa ipo tayari kupandwa shambani.
Hakukuwa na mabadiliko
Mabadiliko yatakayotokana na upandaji wa miti tutaanza kuyaona miezi minne ijayo
N/A

Mambo Mliyojifunza

Maelezo
Katika kuutembelea viijiji,tumeona kuwa wananchi wako tayari kama wakielekezwa na kuwezeshwa katika utekalezaji wa shughuli yeyote ya maendeleo

Changamoto

ChangamotoNamna mlivyokabiliana nazo
Hakukuwa na changamota wakati huu wa ufuatiliaji

Mahusiano

WadauNamna mlivyoshirikiana nayo
Katika utekelezaji wa shghuli ya ufuatiliaji,mara zote tumeshirikiana na wataalam wa idara ya misitu ya wilaya ya Mvomero Tulitembea wote kama ilivyopangwa na ukweli Afisa misitu yeye ndiye alikuwa na jukumu la kuelezea mambo ya utaalam katika utunzaji wa vitalu vya miche na jinsi ya kuipanda miche hii mashambani

Mipango ya Baadae

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Shughuli za utekelezaji wa mradi kama ilivokuwa imepangwa itakuwa imekamilika.Kilichobaki ni kuandika taarifa ya mwisho wa mradi husika.

Walengwa Waliofikiwa

    Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wajane na WaganeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWIWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WazeeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watoto YatimaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WatotoWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wenye UlemavuWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
VijanaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wengineWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Kupata takwimu hizi sasa hivi siyo rahisi mpaka wakati wa sensa au tupange kuzipata takwimu hizi kwa kupitia mradi maalum

Matukio Mliyoyahudhuria

Aina ya TukioLiniMambo uliyojifunzaHatua zilizochukuliwa
Mafunzo ya Usimamizi wa RuzukuFebruari,2010Jinsi ya kujaza fomu ya maombi kwa usahihi na usimamizi wa mradi husika na fedha.Mkataba ulisainiwa na kupata ruzuku

Viambatanisho

FCS Narrative Report

Utangulizi

Chama cha Mazingira na Maendeleo kwa Umma Tanzania
cmmut
Uboreshaji wa Utunzaji wa Misitu na Vyanzo vya Maji Katika Milima ya Uluguru
FCS/MG/3//09/091
Tarehe: Juni,2011-Agosti 2011Kipindi cha Robo mwaka: Tatu
Elibariki Kweka, S.L.P. 4070,Morogoro,Email elibarikikweka@yahoo.com,cmmut2005@yahoo.com

Maelezo ya Mradi

Sera
Kuhamasisha wananchi ili kuinua uelewa wao juu ya umuhimu wa kuhifadhi misitu na maendeleo yanayotokana na shughuli za uhifadhi ni maswala ya Sera. Mradi huu umelenga kutoa mafunzo kwa wananchi ili wawe na uelewa kwambakuhifadhi mazingira kutawaondoa wao katika umaskini uliotopea.
MkoaWilayaKataVijijiIdadi ya Wanufaika
MorogoroMvomeroMlali na DomaDoma,Kihondo,Msongozi,Mkata Melela60
 Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wanawake252755
Wanaume353015
Jumla605770

Shughuli na Matokeo ya Mradi

1.Jamii ya watu wa Doma na mlali wanafahamu umuhimu wa uhifadhi wa Mazingira na Utunzaji wa vyanzo vya maji.

Jamii imehamasika juu ya uhifadhi wa mazingira na utunzaji wa mazingira pamoja na matumizi ya nishati mbadala
Kufanya Tathmini Shirikishi ikiwahusisha watu 20 wakiwemo baadhi ya washiriki,viongozi wa kata na serikali za vijiji husika,maafisa ugani na viongozi wa dini.
Watu 20 wakiwemo viongozi wa kata, vijiji, baadhi ya washiriki katika semina/warsha,maafisa ugani na viongozi wa dini walikaa kwa siku tatu(3) katika kijiji cha Doma wakifanya tathmini ya mafunzo na midahalo iliyofanyika.Walitaka waone na kupata taarifa juu ya mabadiliko yeyote yaliyoonekana kwa wananchi kutokana na warsha/Semina/midahalo iliyofanyika miezi michache iliyopita.
N/A
Kiasi cha Shs.2,647,100 zilitumika katika shughuli hii.

Mafanikio au Matunda ya Mradi

1 Jamii ya watu wa kata za Doma na Mlali wanafahamu umuhimu wa utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji na kwamba viongozi wanaelewa wajibu wao katika swala hili.
Tathmini ilifanyika vizuri na kugundua kwamba watu wengi wamehamasika hasa kutokana na viongozi kuwa na mwamko katika swala zima la uhifadhi wa mazingira ambapo wanawahimiza watu katika sehemu zao kupanda miti na kuzuia ukataji miti hovyo na uchomaji moto.
Viongozi wanaonekana kuwa waelewa na wafuatiliaji wa shughuli za maendeleo
Kule tu kukaa pamoja na kila kiongozi kutoa taarifa ya kazi yake katika tathmini kama hii kunalazimisha kwa namna moja au nyingine viongozi kuwa na uelewa wa kitu anachotakiwa kukieleza mbele ya wenzake.

Mambo Mliyojifunza

Maelezo
Katika tathmini sisi kama CMMUT tumeona kuwa ni muhimu maana kila kiongozi kazi yake inawekwa wazi; na hivyo kuwafanya wawe makini katika kusimamia utekelezaji wa shughuli tulizokubaliana.Kwa hiyo tathmini ni muhimu kufanyika kwa kila mradi uliotekelezwa

Changamoto

ChangamotoNamna mlivyokabiliana nazo
Kwa ujumla hukukuwa na changamoto

Mahusiano

WadauNamna mlivyoshirikiana nayo
Serikali viongozi wa dini na wanufaikaKwa kuwa hawa ni viongozi kwenye sehemu husika wao ndiyo wasimamizi wa utekelezaji wa shughuli zote za maendeleo.Hivyo ilibidi tukutane pamoja kuangalia mafanikio yaani Tathmini ya utekelezaji wa shughuli tulizojipangia

Mipango ya Baadae

Shughuli ZilizopangwaMwezi wa 1Mwezi wa 2Mwezi wa 3
Kwa ujumla Shughuli muhimu itakayofanyika ni ufuatiliaji wa yale tuliyojipangia katika warsha--MONITORINGXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX

Walengwa Waliofikiwa

    Walengwa wa moja kwa mojaWalengwa wasio wa moja kwa moja
Wajane na WaganeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wanaoishi na VVU/UKIMWIWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WazeeWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watoto YatimaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
WatotoWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wenye UlemavuWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
VijanaWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Watu wengineWanawake(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Wanaume(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Jumla(Hakuna jibu)(Hakuna jibu)
Takwimu hizi kmf.walemavu yaani viziwi,wasioona,albino na walemavu wa viungo ni vigumu sana kuzipata maana hata ofisi ya kata haina takwimu hizi Tutazamie katika sensa ijayo au CMMUT itafute utaratibu wa kufanya utafiti na kupta takwimu sahihi na muhimu kama hizi.

Matukio Mliyoyahudhuria

Aina ya TukioLiniMambo uliyojifunzaHatua zilizochukuliwa
Mafunzo ya Usimamizi wa RuzukuFebruary,2010JInsi ya kujaza fomu ya maombio ya ruzuku kwa usahihi na usimamiozi wa miradi na fedhaKusaini mkataba wa kupata ruzuku

Viambatanisho