Ofisi ya MARAFIKI WA MBEYA KUPITIA NAMBA YAKE
+255(0) 686 605 141 Na BARUA PEPE <marafikiwaelimumbeya@gmail.com> TULIPOKEA MAOMBI TOKA KWA KIONGOZI WA UMOJA WA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU WENYE ASILI YA RUNGWE NA BUSOKELO MAARUFU KAMA Rungwe Natives University Students' Association(RUNUSA) ,Kiongozi wao alitupigia simu na kutuandikia ujumbe kwa barua pepe kuwa wanaomba MARAFIKI WA ELIMU MBEYA tuwaunge mkono katika kufanikisha mpango wao wa kwenda kufundisha katika shule za kata kwa kujitolea.
Sisi kama MARAFIKI WA ELIMU MBEYA, tumelipokea hili kwa furaha kubwa na tunaahidi kushirikiana nao kwa hali na mali.Hata hivyo ushauri ni kuwaomba wanafunzi wa vyuo toka vyuo vyote nchini wenye asili ya MBeya washirikiane nasi kuandaa mpango huu wa kwenda kufundisha katika shule za kata kwa kujitolea.
VIVYO HIVYO, MARAFIKI WA ELIMU MBEYA tunaomba kupata ushirikiano kwa wadau wote wa maendeleo kuunga mkono swala hili kwa kujitoa kwa kila namna ili kufankiskisha zoezi hili.
PICHA HII NI MMOJA WA WANACHUO(LEGAN ASWILE) akiwa na wanafunzi aliowafundisha mwaka jana kupitia zoezi lao la kufundisha kwa kujitolea
MARAFIKI WA ELIMU MBEYA(MEM) is looking for volunteers who can assist daily undertaking of several activities. The most wanted volunteers include people with the following skills
1.JOURNALISM & MASS COMMUNICATION SKILLS
These are needed for the purpose of helping to train young reporters
2.PROJECT PLANNING AND MANAGEMENT SKILLS
These are needed to work with MEM officers so as to plan and implement different projects with focus on goals, vision and mission of MARAFIKI WA ELIMU MBEYA
3.TEACHERS/TEACHING SKILLS
These are also needed for major two reasons
(i) Work as trainers in different training to be done by MEM
(ii) Work as volunteer teachers in Ward schools with special requirements of teachers. Much emphasize in placed on science teachers who can teach Physics, Basic Mathematics, Chemistry and Biology. However Arts also are needed to supplement efforts of teachers in some ward schools with few teachers.MEM
4.SOCIAL WORKERS
To assist MEM in all activities of organizing and running outreach programs and running teaching programs as well as counseling to vulnerable and victims (HIV/AIDS positive children, street children etc) children and youth.
5.EDUCATION ACTIVIST AND PROGRAM CONSULTANTS FROM DIFFERENT ORGANIZATION
MARAFIKI WA ELIMU MBEYA has variety of projects as shown on the project column. In order for all these projects we need supports from individuals, organization and Government.
Donation can be done through
1.PAYMENTS THROUGH BANK ACCOUNT (soon will be publicized )
2.Electonic Money(AIRTEL MONEY >>>> +255686605141
3.Visiting or contacting MEM officers for official appointments
4.Material supports and skills are also part of donation
All in all MEM projects will only be successful if people will decide to support our movement. Example Training of children basing on leadership and TV/Radio presentation requires sponsors who can help us to buy airtime from media, Research and publication about street children and other children who are vulnerable like HIV/AIDS positive.
Moreover, Donation can help MEM to run the project of hiring teachers who are expected to supplement efforts of excelling in academics in ward schools.
Kindly MEM request people with good will to assist so that All projects are done successfully.
WORK PLANS for all projects are available
TOURISM:Mbeya is not only a blessed region with plenty of food but also plenty of touristic centers LIKE
METEORITE IN Mbozi District -Kimondo cha Mbozi
MEM is looking for VOLUNTEERS who can work with Children ,Youth and society at large.The following are the most needed:-
1.Fresh graduate of Journalism & Mass communication(2 POSTS),
2.Fresh graduate of Project Planning and Management(2 POSTS),
3.Fresh graduate of social work (1 POST)
4.Fresh graduate in Education and community Development (1 POST)
INTERESTED APPLICANTS ARE ADVISED TO SEND THEIR APPLICATIONS BEFORE 1st May 2014
Send your application to marafikiwaelimumbeya@gmail.com
NB:1.APPLY, ONLY IF YOU ARE LEGIBLE
2.ONLY QUALIFIED & SHORTLISTED APPLICANTS WILL BE CONTACTED