Onyesha picha za athari za mafuriko kwenye mtaa wako (ikiwezekana):

Mzee Abdul S. Mwakasanga akiwa mbele ya nyumba yake ambayo ukuta umeanguka kabisa na kuharibu thamani za ndani ombi lake ni atafutiwe makazi mapya

ndugu huyo mnae muona hapo alikuwa anaeleza viongozi wa NVRF waliomtembelea jinsi maji yalivyokuwa yamefika usawa wa dirisha juu na familia hii haijarejea kwenye makazi yao
(Hakuna jibu)
(Hakuna jibu)
(Hakuna jibu)
« Rudi nyuma kwenye ripoti