Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: Africa Upendo Group
Time Submitted: 14 Januari, 2012 16:58 EAT
Mpakani mwa Kinondoni na Ilala eneo la Mtaa wa mwongozo Makuburi.
makazi,barabara,maji,fedha,mahitaji ya ndani na chakula
Nyumba yangu ya vigae imebomoka na sina fedha za kukarabati
sina jambo la kufanya na pia nimeadhirika kiakili
maji ni ya kijani yamejaa uchafu hayafai kabisa
Kabla ya mafuriko: (Hakuna jibu)Sasa: (Hakuna jibu)
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti