Envaya

Envaya

Utafiti wa jamii kuhusu hali ya mafuriko jijini Dar-es-salaam

Respondent: NETWORK FOR VULNERABLE RESCUE FOUNDATION (N.V.R.F)
Time Submitted: 27 Januari, 2012 10:25 EAT
Tabata kisukuru
Tabata kisukuru (maji chumvi)
makazi yameharibika kwa kiwango kikubwa sana.
kutokana na mafuriko hayo familia nyingi zinaishi nje na wengi wana lala nje
kuna baadhi ya maeneo vyanzo havijaharibika sana.
Kabla ya mafuriko: hapanaSasa: (Hakuna jibu)
nyumba ikiwa imeanguka na thamani za ndani zikiwa njea na godoro hilo ndilo ambalo jioni familia hutandika chini na kulala.
picha hii tulipaiwa na mkazi mmoja na kutuambia kuwa pamoja na Diwani kuwatembelea ambaye ni huyo mama aliyeshia bahasha bado hakuna jambo lolote ambalo limefanyika kuwasaidia kwa haraka zaidi
vyoo pamoja na mabafu vikiwa vimeathirka na mafuriko
baadhi ya nyumba zingine ambazo tuliziona njiani katika maeneo ya mabibo zikiwa kwenye bonde hili ambalo maji yalipita kwa wingi
« Jibu lililotanguliaJibu lifuatalo »

« Rudi nyuma kwenye ripoti