Envaya

Asasi ya Epa Ukimwi inaandaa warsha ya siku 6 itakayowahusisha wadau mbalimbali wa mapambano dhidi ya Ukimiw. Warsha hii itahusu kujadili mila na tanaduni zinazotumiwa na jamii bila yenyewe kujua kuwa iko katika hatari ya kupata maambukizi ya Ukimwi. Wahusika wakuu watakuwa ni wale ambao kwa namna moja wanahusika katika kuzitekelza mila na tamaduni hizo.

Aidha warsha pia itawaalika wataalamu mbalimbali watakaotoa mada zinazohusu maambukizi ya VVU na Ukimwi. Warsha hii itafanyika katika ofisi za Epa ukimwi maendeleo Masas kuanzia 15-21 Desemba 2011.

October 31, 2011
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.