
cc @BernardMembe @pkallaghe @tonytogolani @zittokabwe @shyrosebhanji @halimamdee @ShukuruKawambwa

@RNMsuya Agreed lets stand as ONE http://t.co/pdebCzsx and #supportpreschoolinTZ so we can change this "Environment" http://t.co/bLLwP7cC

Tukiwathamini walimu na kuwapa support kama leo basi tutegemee yaliyoandikwa katika mistari miwili ya kwanza hapa http://t.co/7WMS9HMV

@nyabatende Hongera sana mama kwa kweli ulifanya kazi kubwa kama asemavyo balozi @RNMsuya fikiria mama angekuwa hana elimu ungekuwa wapi

Ujumbe wa Leo #SikuyaWalimu " kama tumewakumbuka kiasi hiki tuungane kutetea maslahi yao tusisahau tulipotoka- Tetea Walimu Tulijenge Taifa

@halphiddy Hongera sana walimu hawa na wafikishieni ujumbe kwa njia hii http://t.co/bLLwP7cC ili taifa lijue umuhimu wa walimu hawa

@MariaSTsehai Hongera ziwafikie walimu hao kama hakukuwa na chekechea na hao wasingekuwa na elimu fikiria ingekuwa vipi? #boreshachekechea

@Justin_Nyangala Hongera kwao walifanya kazi kubwa hadi leo umewakumbuka,lakini wanaweza wasiuone ujumbe huu jaribu hii http://t.co/bLLwP7cC