
@kingkimwaga Una mawazo mazuri na walimu wakikimbia je elimu ya awali (chekechea) unadhani itakuwa vipi? watoto wakiingia msingi je?

#BoreshaChekechea nchini ili upunguze gharama za maisha kwa kulipia ada kubwa katika shule za "praiveti" mbona wewe ulisoma "pabuliki"- Mdau

#TeamSimbaSC Read this message http://t.co/raI0DYiv and RT to you followers ! Good Morning

TODAY'S MESSAGE : Either you are #TeamYanga or #TeamSimbaSC Read this message http://t.co/raI0DYiv and RT to you followers ! Good Morning

Good Night Twitfam.....Thanks for your contributions in our new campaign #BoreshaChekechea

@godnyam @JMakamba thanks for understanding and close follow up on what we do that's impressing now follow TL of @UNICEFTanzania

@godnyam neno sahihi alizoshare na sio alizotoa @JMakamba fuatilia TL yetu tuliRT kwa followers wetu na wewe sambaza ujumbe kwa watz' thanks

Katika picha hizi http://t.co/pdebCzsx number 02,03,05,08,14,17,18,22,35,37,47,50 ni mashabiki wa Yanga na ujumbe wao kwa #TeamYanga

Katika picha hizi http://t.co/pdebCzsx number 1,4,6,13,15,16,19,21,23,24,32,46,20 ni Mashabiki wa Simba na Ujumbe wao kwa #TeamSimba