Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Mojawapo ya mikutano ya mdahalo iliyoendeshwa na shirika la KIOO katika Halmashauri ya wililaya ya Kigoma kujadiliana juu ya changamoto juu ya upangaji wa mipango ambao umeperekea matumizi mapaya ya rasilimali za umma hasa fedha. Mfano Katika kijiji cha Ilagala barabara iendayo sambala haikutengenezwa kabisa licha ya kuoneshwa kwenye taarifa kuwa imetengenezwa.

21 Werurwe, 2011
« Inyuma Ahakurikira »

Tanga igitekerezo

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.