Hili ni boti lililotumika kubebea mbolea ya ruzuku ambayo iliuzwa na viongozi wa kijiji cha Nyahoza katika halmashauri ya wilaya ya Kigoma.Hii ilithibitika baada ya timu ya ufuatiliaji kuwahoji wananchi na kutokana na mwamko walioupata wakafichua kila kitu ndipo picha hizi zilipopatikana.
8 Machi, 2011