Envaya

Uwakilishi wa wananchi upo nchini kisheria na wawakirishi hao hupatikana kwa njia ya kura halali ambazo hupigwa na wananchi kote nchini.Madiwani hawa wameonekana kuwa chachu ya mijadala katika halmashuari mara baada ya kushiriki mafunzo ya KIOO ya ufuatiliaji na uwajibikaji kijamii ambayo kwao waliyaona kama yamewafungua macho na kuanza kufuatilia kila kitu kwa ukaribu zaidi. Moyo huu waliouonesha tunawaomba wauendeleze kwa ajili ya maendeleo ya waliowachagua.

8 Machi, 2011
« Iliyotangulia Ifuatayo »

Ongeza maoni

Jina lako:
Mahali ulipo:
Email yako:
(sio lazima)
Anwani yako ya email haitachapishwa.