Envaya

kitambinoma exercise club

unguja, Tanzania

kujenga afya za wanachama pamoja na kushajihisha wananchi kufanya mazoweziili kujenga afya zao

Mabadiliko Mapya
kitambinoma exercise club imeongeza Habari.
Kitambinoma will participate to the coming annual Bonanza on 1st January 2013. The Bonanza that will keep more than 30 Fitness club together for about an hour exercise infront of government dignatory. This is the fourth bonanza in body fitness exercise history. Our friends TAIFA JOGGERS from Dar es salaam will also participate this historical... Soma zaidi
14 Desemba, 2012
kitambinoma exercise club imeongeza Habari 8.
Kitambinoma has appoited Mr.Mohamed Zidi and Mrs.Amina Talib to contest for chairmanship and special seat in Zabesa election planned on 22December 2012
30 Novemba, 2012
kitambinoma exercise club imehariri ukurasa wa Historia.
Asasi imeanzishwa mwaka 2010 kwa kuwakusanya wananchi wa rika tofauti, walemavu na wasokuwa walemavu ili wafanye mazowezi ya pamoja kila siku asubuhi na jioni. Mahala wanapokusanyika ni maeneo ya Ngazi miaMjini Unguja. Kitambinoma kimekuwa sasa kwa kupata wanachama mengi kwa kipindi hiki kifupi kipatacho miaka miwili.... Soma zaidi
30 Novemba, 2012
kitambinoma exercise club imeongeza Habari.
Taita Joggers of Dar es salaam invited Kitambinoma of Zanzibar for a Safe Walk in sympathy with the victims of the riote in ZAnzibar where shops were put on fire and public properties were vandalised. The walk started at National Stadium and end at Mnazimmoja Ground.At Mnazimmoja, the grand walk was received by Alhaj... Soma zaidi
29 Julai, 2012
kitambinoma exercise club imehariri ukurasa wa Timu.
1. Suleiman Mohamed Rashid- Mwenyekiti – 2. Mohamed Zidi -Makamo Mwenyekiti – 3. Amina Talib- Katibu – 4. Abdalla Diwani - Ms. Katibu – 5. Abdalla Mapesa - Mshika Fedha – 6. Khamis Kallos -Nidhamu
14 Februari, 2012
kitambinoma exercise club imehariri ukurasa wa Historia.
Asasi imeanzishwa mwaka 2010 kwa kuwakusanya wananchi wa rika tofauti, walemavu na wasokuwa walemavu ili wafanye mazowezi ya pamoja kila siku asubuhi na jioni. Mahala wanapokusanyika ni maeneo ya Ngazi miaMjini Unguja. Kitambinoma kimekuwa sasa kwa kupata wanachama mengi kwa kipindi hiki kifupi kipatacho miaka miwili.... Soma zaidi
14 Februari, 2012
Sekta
Sehemu
unguja, Unguja Mjini Magharibi, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu