Hii ni shule ya Sekondari Mruwia, ina kidato cha 1-4, shida kubwa ya shule hii ni Madawati, na Waalimu. Tungefurahi kama tungepata walimu wa kujitolea kutoka nchi za nje kwa kupitia exchanging programme.
29 Januari, 2011
Hii ni shule ya Sekondari Mruwia, ina kidato cha 1-4, shida kubwa ya shule hii ni Madawati, na Waalimu. Tungefurahi kama tungepata walimu wa kujitolea kutoka nchi za nje kwa kupitia exchanging programme.