Envaya
Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Hii ni shule ya Sekondari Mruwia, Kwa sasa ina kidato cha i-iv shule hii ni ya serikali lakini ina matatizo mengi hasa madawati kwa ajili ya kukalia wanafunzi, Vitabu hakuna kabisa, pia Walimu ni wachache sana. Tungefurahi kama tunaweza kupata walimu wa kujitolea kutoka nje kupitia, exchanging programs.

January 29, 2011
« Previous Next »

Add a comment

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.