kuwa na jamii iliyohuru isiyo na maradhi ujinga na unyanyapaa.
kuelimisha jamii kupambana na maambukizi mapya ya v.v.u na ukimwi.
kuelimisha jamii juu ya matumizi sahihi ya dawa ya alu ya kutibu malaria isiyo kali.
Mabadiliko Mapya
NANYAMBA TRADITIONAL CULTURAL GROUP imeongeza Concern kwenye orodha yake ya Mashirika ya Ubia.
Concern walitupatia msaada wa fedha kwa ajili ya kuelimisha jamii kupambana maambukizi mapya v.v.u na ukimwi na magonjwa ya zinaa katika kata mbili za Namtumbuka na Nitekela ambazo zinajumuisha vijiji kumi katika halimashauri ya wilaya ya Mtwara Vijijini Mwaka 2005-2006
18 Mei, 2011
NANYAMBA TRADITIONAL CULTURAL GROUP imejiunga na Envaya.
18 Mei, 2011
Sekta
Sehemu
Nanyamba, Mtwara, Tanzania
Tazama mashirika ambayo yapo karibu
Tazama mashirika ambayo yapo karibu