Shule ya awali (chekechea) ya watoto waishio katika mazingira hatarishi wakiwa katika picha ya pamoja nje ya darasa . Watoto hawa wanasomea katika darasa lisilokidhi na baadhi hawakupata sare ya shule kutokana na ufinyu wa bajeti. Watoto huja na kurudi nyumbani kila siku
30 Julai, 2011