Envaya

Je, Unaelewa nini kuhusu ugonjwa wa Saratani/kansa?

Tanzanian Cancer Society - Tacaso
November 28, 2014 at 1:33 PM EAT

Ugonjwa huu kwa wengi ni ngumu kuuelezea. Kwani imani potofu na kukosa elimu sahihi hupelekea kila mtu kuwa na mtazamo wake binafsi.

Tungependa kusikia unaufahamu vipi au umeusikia ni ugonjwa wa aina gani na tiba yake ni nini?


Add New Message (Hide)

Your name:
Your location:
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.