Base (English) | English |
---|---|
Mm naitwa GERRAlD MOLLEL ni mwanafunz wa kozi ya maendleo ya jamii hombolo dodoma Mimi pamoja na wenzangu tumeanzisha asasi inayoitwa RAFiki care TANZANIA Tunashughulika n mambo ya kijamii Mpaka sasa tuna mda mfupi toka tuanze majukumu yetu hatuna usajili mpaka sasa Tunahitaji kufanya kazi n mashirika ya kijamii yaliyopo dodoma Tunahitaji uzoefu katika kufanya kazi za kijamii tunaombeni.sapoti kutoka kwenu |
(Not translated) |