Base (Igiswayire) | English |
---|---|
UTAMBULISHO
MASAYODENni shikalisilo la kiserikali na lipo wilaya ya Masasi mkoa wa Mtwara.Shirika lilianzishwa rasmi tarehe 18/5/2002 liliundwa na vikundi 34 vya vijana toka kila kata za wilaya ya Masasi. Masayoden ilisajiliwa tarehe 13/6/2003. namba ya usajili ni S .O.NO 11980 .Shirika linafanya shughuli za vijana ngazi ya wilaya. Lengo kuu ni kupambana na umasikini na vvu/ukimwi wilaya ya masasi.
MASAYODEN ni mwanachama wa shirika Mwamvuli la NGOs Masasi (MANGONET). Masayoden inamahusiano mazuri na vijana, watoto jamii wa jinsia zote. Vilevile serikali Halmashauri ya wilaya ya Masasi na mashirika mengine ya ndani na nje ya wilaya ya masasi. Masayoden imewahi kufanya kazi na UNICEF, 2002-2006 UNDP 2005 CONCERN 2006-2007.
MUHTASARI
Masasi ni Wilaya yenye eneo la mraba KM.4429.9 Wilaya hii ni karibu asilimia 23% ya eneo la Mkoa wa Mtwara ina tarafa 5 kata 34 vijiji 156 na vitongoji 905. Kutokana na sensa ya 2002 ina wakazi 304211. ikiwa na KE 159142 na ME148069. Inakadiriwa kuwa na kiwango cha 2.1% ya ukuaji wa uzazi.
TATIZO
Kuongezeka kwa kikwazo vinavyo kwamisha upatikanaji wa mitaji ya kuanzisha na kuendesha Biashara hasa zile ndogo na za vijijini wilaya ya Masasi.
UHAKIKA WA TATIZO
Wilaya ya Masasi ni kati ya Wilaya zenye idadi kubwa sana ya vijana wasiokuwa na shughuli maalumu na vijana wanayoishi katika mazingira magumu. Kuongezeka kwa tatizo la vikwazo vinavyokwamisha upatikanaji wa mitaji ya kuanzisha na kuendesha Biashara .Imeleta athari kwa vijana kama zifuatazo:
(i) kupungua kwa ustawi wa vijana
(ii) Kuongezeka kwa vijana wanayoishi mitaani na vijiweni
(iii) Kuongezeka kwa uvutaji bangi na unywaji wa pombe
(iv) Kuongezeka kwa maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa vijana
(v) Kuongezeka kwa watoto yatima na wanayoishi katika mazingira magumu
(vi) Kuongezeka kwa utegemezi katika familia
LENGO KUU:
Kutokana na malengo ya kitaifa 2025 na mpango wa kitaifa wa mkakati wa kukuza uchumi na kuondoa umasikini Tanzania (MKUKUTA) wenye vipengere vitatu (3) . Shirika la Masayoden likishirikisha na chama cha kuweka na kukopa Masasi vijana SACCOS kuchangia katika kipengele cha kwanza (i) cha kukuza uchumi na kuondoa umasikini wa kipato kwa watanzania.
LENGO LA MAHUSUSI
Kupunguza vikwazo vinavyokwamisha upatikanaji wa mitaji ya kuanzisha na kuendesha Biashara hasa zile ndogo na za vijijini kwa vijana wilaya ya Masasi ifikapo Dec 2015.
WALENGWA
VIJANA
MIKAKATI
Kutoa mafunzo ya ujasiliamali
Kuendesha majukwaa ya vijana
Kuboresha ofisi ya Masayoden/Masasi Vijana Saccos
MATOKEO
Kuongezeka kwa uelewa juu ya mbinu, ubunifu uboreshaji wa bidhaa na ufuatiliaji wa masoko
Kuongezeka kwa kipato kwa vijana
Kupungua kwa vijana wanaoishi mitaani na vijiweni
SHUGHULI
Kuendesha mafunzo ya elimu ya ujasilamali kwa vijana
Kuendesha majukwaa ya vijana kila kata
Kuboresha ofisi ya Masayoden na Masasi Vijana Saccos
MAFANIKIO
Kuongezeka kwa ajira katika sekta binafsi
Kuongezeka kwa mapato katika serikali za mitaa kwa kukusanya kodi kutokana ongezeko la uzalishaji mali.
Kuongezeka kwa ustawi wa vijana
Vijana wengi kujishughulisha katika shughuli mbalimbali za kiuchumi na maendeleo
MUDA WA UTEKELEZAJI
JULLAY…..........SEPTEMBER 2011
ENEO LA UTEKELEZAJI
WILAYANI NA KWENYE KATA
NJIA ZIKAZOTUMIKA
Majadiliano
Kazi za vikundi
WALENGWA WENGINE
Serikali
Jamii
CBOS
MAHITAJI
Vijana
Wataalamu
Fedha
|
INTRODUCTION
MASAYODENni shikalisilo governmental and exists Masasi district governor of Mtwara.Shirika officially created on 05/18/2002 and was formed 34 groups of youth from every county in the district of Masasi. Masayoden was registered on 13/06/2003. The registration number is S. O. NO 11 980. Corporation engages youth activities of the district level. The main objective is to fight poverty and HIV / AIDS .
MASAYODEN Masasi district is a member of an umbrella organization of NGOs Masasi (MANGONET). Masayoden inamahusiano good with young children of both sexes community. Similarly the government of Masasi District Council and other organizations within and outside the territory of revenge. Masayoden has been working with UNICEF, UNDP 2005 2002-2006 2006-2007 Concern .
BRIEF
Masasi District is an area of square KM.4429.9 this district is nearly 23% of the area of Mtwara Region has five divisions 34 wards and 156 villages in 905 townships. According to 2002 census has a population of 304,211. with BS 159 142 and ME148069. It is estimated that the rate of growth of 2.1% of reproductive .
PROBLEM,: Increased heavy obstacle hinder access to capital to start and run a business, especially those small and rural district of Masasi .
POINT THE PROBLEM, , Masasi District is among the districts in very large numbers of young people who have special activities and young people live in difficult circumstances. Growing problem of sanctions vinavyokwamisha availability of capital to start and run a business. Has brought impact to the youth as follows:,, (i) a decrease in the welfare of youth, (ii) increase in young people live in the streets and Kijiweni, (iii) Increased for smoking marijuana and alcohol,: (iv) increase in the prevalence of HIV / AIDS for youth, (v) increase in orphans and they live in difficult conditions, (vi) Increased dependence on family
, ; MAIN GOAL:,: Given the goals of 2025 and national planning strategy for growth and poverty reduction in Tanzania (MKUKUTA) with details of three (3). Organization Masayoden likishirikisha and savings and credit union youth Masasi SACCOS contributing factor in the first (i) the growth and income poverty in Tanzania .
Goal specific; vinavyokwamisha Reduce barriers to capital access and setup especially those running small business and rural youth Masasi District at Dec 2015 .
targeted,: YOUTH,,,, strategies
provide training for entrepreneurship
Operating platforms youth: Improving office Masayoden / Masasi Youth SACCOs,,,, RESULTS,: Increased awareness of techniques, innovative improvement of products and monitoring of markets,: Increased income youth; decrease in youth living on the streets and Kijiweni,,,, ACTIVITIES,: Conducting ujasilamali education for youth, youth platforms run every county,: Improving office Masayoden and Masasi Youth SACCOs,,,, SUCCESS,, increase in employment in the private sector, increase in revenue in local governments to collect taxes from the increase production assets.
increase in the welfare of youth, many young people engaging in various economic activities and development,,,, TIME FOR ACTION
JULLAY ... .......... SEPTEMBER 2011,:
ACTION AREA,, district and AT Ward,,,, WAY ZIKAZOTUMIKA,, Talk,, group work,,,, the direct beneficiaries OTHERS,, Government, Community, CBOs,,,, NEEDS,, Youth, Professionals, : Finance |
Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe
Ibyasobanuwe
|