Asili (Kiswahili) | English |
---|---|
Community Organization for Life and Development "COLD" imeshiriki kikamilifu katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika ambayo yameadhimishwa kimkoa katika kata ya Bugarama wilaya ya Kahama, ambapo mgeni rasmi amekuwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Brigedia Jenerali mstaafu, Dk. Yohana Balele. COLD imetoa msaada wa sare za shule na madaftari hamsini na tano kwa watoto yatima wanaoishi katika mazingira magumu kumi na mmoja, wavulana watano na wasichana sita wanaosoma katika shule ya msingi Bugarama ambazo wamekabidhiwa na mgeni rasmi. Mgeni rasmi amelipongeza sana shirika hili kwa juhudi zake na kuahidi kuwa yuko tayari kulisaidia kistadi na kiushauri. Pia mgeni rasmi amekabidhi hundi ya shilingi mia tano elfu kwa mkurugenzi mtendaji wa COLD Bw. Kisumva Mathew Maziku ukiwa ni msaada wa kuunga mkono jitihada za shirika kutoka halmashauri ya wilaya ya Kahama. |
Community Organization for Life and Development "Cold" actively participated in the celebration of Day of the African child that the county's regional yameadhimishwa Bugarama Kahama district, where he was chief guest of the Shinyanga region of retired Brigadier General, Dr. John Balele. Cold has the support of school uniforms and books for fifty-five orphaned children living in difficult circumstances, eleven, five boys and six girls studying in primary school Bugarama which are given by the guest. The guest was very lipongeza this organization for its efforts and pledged to be ready to help and mentoring skills. Also guest has handed over a check for five hundred thousand shillings for the executive director of Mr. Cold. Mathew Kisumva Maziku being help support the organization from the district council of Kahama. |
Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe
Historia ya tafsiri
|