Envaya

Translations: English (en): User Content: WIChW2GWKeTctcNb4u1syrnu:content

Base (Swahili) English

Maandalizi ya sherehe za kumbukumbu  ya miaka 5 ya huduma za ''Shake Hands Youth Organization'' na Taasisi zake katika Jamii  kufikia kilele chake-Desemba, 2012, tangu kuanzishwa kwa Taasisi hii katika jamii ya Watanzania.


                                           "TANGAZO MUHIMU  SANA"

MENEJIMENTI  YA  "SHAKE HANDS YOUTH ORGANIZATION"  INAWATANGAZIA  WATANZANIA WOTE  WENYE KIPATO CHA KAWAIDA KUWA TUMEANZA KUANDIKISHA WATOTO WANAOTAKA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA "PRE-FORM ONE" KATIKA SHULE YETU YA "RAFIKI KNOWLEDGE SECONDARY" ILIYOPO ENEO LA TABATA SHULE.

GHARAMA ZA MASOMO NI TSHS.40,000/= KWA MIEZI(3) NA TSHS.14,000/= KWA KILA MWEZI  KATIKA MASOMO 6,AMBAYO NI:-

(i)MATHEMATICS (HESABU)

(ii)ENGLISH(KIINGEREZA) &  ENGLISH COURSE

(iii) PHYSICS

(iv)BIOLOGY

(v)GEOGRAPHY

(vi)COMPUTER KOZI KWA WIKI (3) ZA MWISHO WA MWEZI DESEMBA.

MASOMO YATAANZA TAR:24 Septemba,2012. Karibu ujiandikishe.



PIA TUMEANZA KUANDIKISHA  WANAFUNZI WANAOTAKA KUJIUNGA NA KIDATO  CHA KWANZA KWA MWAKA-2013.

FOMU ZA KUJIUNGA NA FOMU ONE  ZINAUZWA  TSHS.5,000/=TU,FOMU HIZI ZINAPATIKANA HAPAHAPA SHULENI.

TUNAPOKEA WANAFUNZI WALIOHITIMU DARASA LA SABA NA KUPATA ALAMA  ZA KUANZIA  50-100.

MALIPO YETU YA ADA NI KIDOGO SANA (TSHS,390,000/=)KWA MWAKA.

ADA HII UNAWEZA KUILIPA KATIKA NJIA ZIFUATAZO:-

           (i) AWAMU MBILI(January=195,000/=na  July=195,000/=),     AU

           (ii)AWAMU TATU(Jan=130,000/=, April=130,000/= na  July=130,000), AU

          (iii)MALIPO YA KILA MWEZI=(50,000/=) hadi Mtoto ahitimu elimu yake ya Sekondari kidato cha Nne.

Kumbuka kuwa hatufanyi biashara ila tunatoa huduma katika jamii na kumrahisishia mtoto wa mnyonge kiuchumi kupata elimu  ya sekondary.

Pia tunasomesha yatima wenye nia ya kusoma na ikiwa watathibitika kuwa ni yatima kweli.Kipaumbele kimetolewa kwa wasichana.

TUITION KWA MASOMO YOTE ZINAPATIKANA HAPA RAFIKI KNOWLEDGE SECONDARY KWA BEI NAFUU KATIKA KILA SOMO NI TSHS.5,000/=kwa mwezi.

Kwa mawasiliano, Tupigie kwa Na:0718 867 520 au 0767 867 520-Mkuu wa Shule.


This lady with a child  came to the office of Shake Hands Youth Organization while seeking for a help after been chased away from her bosses's home where she worked as a house girl but as she got birth of her fist born,her boss chased her out with her child whereby she used to sleep outside at Tabata market,as a result of this tragic event,she came to our office seeking for any support so that she may return back at her home place in Morogoro.The organization's management through the Executive director,Mwl.murasi Abraham Joseph(left)succeeded to support her the transport fare and some amount for food up to kilombero-morogoro to her mother land home.(see the above photos).

The Executive Director of "Shake Hands Youth Organization"Mwl.Murasi A. Joseph,chilling in his office.(both photos reflect the event as you can see).

Rehema Othman(right)with her child as she claimed to be chased with her boss where she worked as  a housegirl, meeting the Executive Director of Shake Hands Youth Organization(left) in his office for any useful support.

Preparations for the celebration of the fifth anniversary'' care'' Shake Hands Youth Organization and its institutions in the community reach its peak-December, 2012, since the establishment of this Institute in Tanzanian society.


"VERY IMPORTANT ANNOUNCEMENT"

MANAGEMENT OF "Shake Hands YOUTH ORGANIZATION" INAWATANGAZIA TANZANIA WITH ALL THE INCOME OF NATURAL We have started enrollment Wishing JOINING AND TRAINING OF "PRE-FORM ONE" IN OUR SCHOOLS OF "FRIENDS Knowledge Secondary" Tabata existing AREA SCHOOL.

COST OF ATTENDANCE IS TSHS.15, 000 / = per month in STUDIES 6, which is: -

(I) Mathematics (MATHEMATICS)

(Ii) The ENGLISH (ENGLISH) & ENGLISH Course

(Iii) PHYSICS

(Iv) Chemistry

(V) Biology

(Vi) GEOGRAPHY

LESSONS begin TAR: September 24, 2012. Welcome to register.



We have started Register Wishing STUDENTS ALSO JOINING AND FORM ONE FOR YEAR-2013.

FORM OF JOINING AND FORM ONE sold TSHS.5, 000 / = ONLY are available Wahapahapa FORM SCHOOL.

We receive Qualified grade seven STUDENTS TO GET A SIGN OF FROM 50-100.

OUR PAYMENT OF FEES IS VERY SLIGHTLY (Tshs, 390,000 / =) per year.

THIS FEE CAN awarded in the following ways: -

(I) PHASE TWO (January = 195,000 / = and July = 195,000 / =), OR

(Ii) PHASE THREE (Jan = 130,000 / =, April = 130,000 / = and July = 130,000), OR

(Iii) MONTHLY PAYMENT = (50,000 / =) to Child ahitimu his secondary education in Form Four.

Remember that we do business but we offer services in community and economic kumrahisishia wretched child sekondary education.

We also teach the orphans who are interested in reading and if they proved to be an orphan kweli.Kipaumbele given to girls.

TUITION FOR ALL LESSONS are available here FRIEND Knowledge Secondary affordable TSHS.5 IN EVERY LESSON IS, 000 / = per month.

For communication, Tupigie for No: 0718 867 520 or 0767 867 520-General of Schools.


In order to edit translations, you need to log in. Log in · Register

Translation History

Google Translate
August 15, 2012
Preparations for the celebration of the fifth anniversary'' care'' Shake Hands Youth Organization and its institutions in the community reach its peak-December, 2012, since the establishment of this Institute in Tanzanian society. – "VERY IMPORTANT ANNOUNCEMENT" ...
This translation refers to an older version of the source text.