About
Explore
Search
Volunteer
Updates
English
Kiswahili
Kinyarwanda
Log in
/UNATZ/news
: English
Base
English
Yoga Work shop is coming this sundy 8th,april from 10.00 till 12.30am at DAF Academy close by sea cliff Masaki. Association with SANAA KITAANI and YOGA PURA VIDA.Money raised will be used by YPV to promote Yoga practices among tanzanian people.Suggested donation 20,000TZC. (image)
(Not translated)
Edit
UNA TANZANIA YAWAPA ELIMU YA AFYA YA UZAZI VIJANA 50 KUTOKA KATIKA KATA 10 ZA WILAYA YA KINONDONI LENGO IKIWA NI KUWAFIKIA VIJANA 150 KUPITIA MRADI WA @#PAMBAZUKO# UKIWA UMEFADHILIWA NA SERIKALI YA UFARANSA – (image) – (image) (image) (image)
(Not translated)
Edit
##studio za UHURU FM RADIO## – @@uchambuzi wa afya ya UZAZI KWA VIJANA NJE YA SHULE WILAYA YA KINONDONI## – @@LENGO NI KUFIKIA VIJANA 150 KWA KATA 10## – @@@@WAZAZI NA TURUDI KULEA WATOTO WETU KWA MAADILI MEMA### – @@@@TUSEMEZANE NA WATOTO WETU JUU YA SUALA ZIMA LA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA### (image) (image) (image) (image) ...
(Not translated)
Edit
MAZOEZI NI MOJA YA NJIA SALAMA KUJENGA AFYA ILA PIA KUHIMILI MIHEMKO YA MWILI HUSUSANI KATIKA KIPINDI CHA MABADILIKO YA MWILI (BALAHE) – - HII NI MOJA YA MAZOEZI KWA VIJANA NJE YA SHULE KUPITIA MRADI WA ''PAMBAZUKO" UNAO TEKELEZWA NA ASASI YA UNA TANZANIA KWA HISANI YA UBALOZI WA UFARANSA KUPITIA WILAYA YA KINONDONI KWA KATA KUMI – LENGO NI KUFIKIA VIJANA 150 WALIYO NJE YA SHULE HUSUSANI MAKUNDI MAALUM...
(Not translated)
Edit
NI JIKUMU LETU SOTEE!!!!!! – HABARI NDUGU WADAU WENZETU NAOMBA TUUNGANE KATIKA MAPAMBANO HAYA>>>>TUNAOMBA SHARE/LIKE – http://fredynjeje.blogspot.com/…/kampeni-ya-kupiga-vita-ndoa katika umri mdogo/utotoni na mimba katika umri mdogo/utotoni (image) (image) (image) (image) ...
(Not translated)
Edit
(image) – Team #SANAA_KITAANI ilipo tembelea wadau wa sanaa kitaaniSANAA @KITAANI,NDOTO MPYA
(Not translated)
Edit
(image) – Team #SANAA_KITAANI ikiwa na Q BOY MSAFI, Je? sanaa ya Tanzania iko wapi tukiizungumzia katika mapana yake? @SANAA KITAANI,NDOTO MPYA
(Not translated)
Edit
> UNA TANZANIA> Yajikita katika kutoa Elimu ya Afya ya Uzazi kwa Vijana nje ya Shule kwa kata 10 katika Wilaya ya Kinondoni,ikiwa lengo ni kufikia Vinaja 150 wa nje ya shule katika wilwya ya kinondoni kwa miezi 6 – > MRADI huu wenye jina la "PAMBAZUKO" (Elimu ya AFYA YA uzazi kwa Vijana nje ya Shule) Unao fadhiriwa na Serikal ya UFARANSA unalenga vijana waliyo nje ya shule – na makundi maalumu. ...
(Not translated)
Edit
UNA YOUTH VOLUNTEER - TUMEENDELEA KUPATIWA MAFUNZO YA UIBUAJI NA ULEZI/UTUNZAJI WA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI (WWKMH) KUPITIA MRADI WA "PAMOJA TUWALEE" UNAO FADHILIWA NA USAID KUPITIA WAMATA/FHI-UNA WAKIPATA UZOEFU KUPITIA MRADI WA "WEKA WATOTO SALAMA WAOKOE TAIFA LAO" (image) (image) (image) (image) (image)
(Not translated)
Edit
(image) (image) UNA TANZANIA WAKISHIRIKIANA NA AVC KUIBUA WATOTO WAISHIO KATIKA MAZINGIRA HATARISHI (WENYE ULEMAVU NA UTINDIO WA UBONGO) – KWA KUTEMBELEWA NA WAGENI TOKA ASASI RAFIKI YA AVC NA MAREKAN (image) – VOLUNTEER WAKIJIANDAA KUINGIA MITAANI WAKIWA OFISI ZA AVC
(Not translated)
Edit