Envaya
/hakielimu/news
: Kiswahili
Asili
Kiswahili
"@LazaroNyalandu: @marwaj7 @hakielimu @kikwete @bernardmembe nadhani sote tushiriki kuziboresha hizi shule."Kweli kila upande utimize wajibu
(Bila tafsiri)
Hariri
@Kasesela @LazaroNyalandu @marwaj7 @Kikwete @BernardMembe hilo linahitaji tafakari kabla ya hatua kumbuka tunazungumzia shule za umma
(Bila tafsiri)
Hariri
@JanBkiwia shukrani mdau tunausubiria kwa hamu ujumbe wako shukrani kwa kuitikia wito wa kulijenga taifa @solothang @jokateM @FlavianaMatata
(Bila tafsiri)
Hariri
@FlavianaMatata Shukrani dada ile link ni hii hapa http://t.co/SUd5htT7 halafu ya kwako tutumie kwenda hakielimumedia@gmail.com
(Bila tafsiri)
Hariri
@Kasesela @LazaroNyalandu @marwaj7 @Kikwete @BernardMembe unaposema mwenye uwezo una maana gani wa uongozi au wa kifedha?na majukumu yake?
(Bila tafsiri)
Hariri
@JanBkiwia shukrani kaka naona imefika ngoja tucheki
(Bila tafsiri)
Hariri
Wanafunzi wengine wa #kidatochaIV wametoroka na kutokufanya mitihani, hawa ndio raia wanaotegemewa kuwa viongozi wa kesho kweli? Tafakari
(Bila tafsiri)
Hariri
Msanii wa kitanzania wa muziki wa kizazi kipya anayefanya kazi zake nchini Sweeden @JanBkiwia ashiriki katika kampeni ya #boreshachekechea
(Bila tafsiri)
Hariri
Endelea kufuatilia TL yetu mara kwa mara kufahamu msanii wa muziki wa kizazi kipya @JanBkiwia amesema nini kuhusu elimu ya awali nchini TZ
(Bila tafsiri)
Hariri
Ni muhimu wanafunzi wa #kidatochaIV wakajitambua na wanawategemewa na taifa sasa leo wako "wamesahau" vitambulisho wakazuiwa kufanya exams
(Bila tafsiri)
Hariri