Injira

/MEECO/news: Kinyarwanda

BaseKinyarwanda
Hi !!!!!! today i want to talk with you concern our institution (MEECO). Among the activities we do are as follows: – Participate in world youth seminar held on 8 August and ...(Not translated)Hindura
(image) – Suleiman Jeni Pandu (General Secretary) and Mwajuma Kombo Khamis A.Chair person katika ukumbi wa Salama hall Bwawani wakiwakilisha MEECO katika siku ya vijana duniani na kutajwa mshindi wa Pesa za ruzuku za mfuko wa UN-HABITAT(Not translated)Hindura
(image) – Msaidizi Katibu Nd. Abdallah Saleh Fatawi (aliyesimama mkabala na jembe) na Mshika fedha wa MEECO Nd.Fred Mont Kasambala wakiwa katika harakati za usafi wa mazingira(Not translated)Hindura
(image) – Vijana wa MEECO TALENT GROUP(MTG) wakiwa katika onesho lao la kuwakaribisha wageni kutoka Shirika la thefoundation for civil society(Not translated)Hindura
Asasi ya Mwanakwerekwe Environmental Ethics and Cultural Organization(MEECO) kwa kushirikiana na American Corner English Club,siku ya jumamosi ya tarehe 23 July 2011 itafanya dhiara ya kwenda Kijiji cha Unguja Ukuu, mkoa wa Kusini Unguja wilaya ya Kati.Dhiara hiyo itakuwa na malengo yafuatayo: – Kuhamasisha Wanakijiji na Jamii ya Wazanzibar kwa ujumla umuhimu wa utunzaji,uhifadhi na Kulinda mazingira. Nafasi za Asasi zisizo za...(Not translated)Hindura
(image) – Miongoni mwa vitendo vya ajabu vinavyooneshwa na vijana wadogo wa MEECO TALENT GROUP katika harakati za kuwakaribisha wageni kutoka shirika la Thefoundationfor civil society tarehe 4/9/2011(Not translated)Hindura
(image) – Viongozi na wanachama wa jumuiya ya Mwanakwerekwe Environmental Ethics and Cultural Organization MEECO) wakiwa katika harakati za usafi wa mazingira katika maeneo yaliyo wazunguka(Not translated)Hindura
(image) – Maafisa kutoka Shirika la The foundation for Civil Society la Dar-es-salaam wakiwa katika dhiara yao ya kuitembelea Asasi ya MEECO baada ya kupokelewa kwa maombi yao ruzuku wa mradi wa kujengewa uwezo uliotumwa na jumuiya ya MEECO shati rangi ya chungwa ni Katibu wa jumuiya ya MEECO Nd. Suleiman J. Pandu, kushoto kwake ni M.Kiti kitengo cha Mazingira cha Asasi ya MEECO Nd. Halima Salum na pia ni diwani wa viti maalum(Not translated)Hindura
(image) – Meeco Talent Group (MTG) wakiwa katika chakula cha pamoja katika kusheherekea sikuu ya idielfitr nyumbani kwa Msaidizi Mwenyekiti Nd. Mwajuma Kombo Khamis(Not translated)Hindura
(image) – Vijana wa MEECO TALENT GROUP (MTG) wakiwa katika harakati zao za kuwapokea wageni kutoka shirika la Thefoundation for Civil society baada ya shirika hilo kuitembelea Asasi ya MEECO(Not translated)Hindura