CHAVITA ni kifupi cha Chama cha Viziwi Tanzania, ni Chama cha kiraia kimesajiliwa kisheria kitaifa mnamo tarehe 04 September 1984 kikiwa na usajili namba SO6466. CHAVITA makao makuu yake makuu yapo Dar es salam,CHAVITA tawi la Mwanza limeanzishwa mwaka 1989 na Viziwi wenyewe ili Viziwi wapate kuwa na maisha bora kama raia wengine Mkoani Mwanza. | CHAVITA is the abbreviation for the Deaf Association of Tanzania, is a legally registered association of national society on 04 September 1984 with a registration number SO6466. CHAVITA its main headquarters are in Dar es salam, CHAVITA Mwanza branch established in 1989 and so the Deaf Deaf themselves might have a better life like other citizens Mwanza Region. | Edit |