Interview 8 – 1.Unaishi eneo gani?! – Magulumbasi 'B' – 2.Mtaa wako unahitaji kitu gani sana sana?! – Nyumba zilizoharibika watusaidie kuzirekebisha.
Tupewe eneo maalumu la kuweka taka zinazoziba mifereji.
Kuta zinazoziba njia ya maji zibomolewe.
3.Mafuriko yameleta athari gani kwenye nyumba unayoishi nna vitu vyako?! – Vitu vyangu vyote vya ndani vimepotea. ... | (Not translated) | Hindura |