Envaya
/watu/news
: English
Base
English
wanawake tunaweza ni shirika lisilo la kiserikali lililoanzishwa mwaka 2010 mwezi wa kumi ' na lilisajiliwa rasmi 2o11 mwezi wa pili' shirika hili linajihusisha na jamii wanawake ,watoto,wazee vijana jamii nzima kwa ujumla
(Not translated)
Edit
(image) – Semina ya mchakato wa upatikanaji wa Katiba mpya ya TANZANIA iliyofanyika Tegeta,Ilihusu kuwaelimisha wakinamama juu ya umuhimu wa mchango wao katika kupatikana kwa katiba mpya
(Not translated)
Edit