MUUNDO WA SHIRIKA LETU – Mkutano mkuu- kikao kinafanyika mara moja kwa mwaka – Kamati ya utendaji- kikao hufanyika kila miezi mitatu – Kamati ndogo ambazo ni ya fedha, mipango na kamati kuu inayo unganisha wenyeviti na makatibu wote wa kamati ndogo. – VIONGOZI – Mwenyekiti - Hellen Mbezi – Mwenyekiti Msaidizi - Victoria Kibua ... | (Bila tafsiri) | Hariri |