(image) – Washiriki hawa waliowakilisha makundi mbalimbali ya watu wenye ulemavu,walipata fursa ya kujadili masuala kadha wa kadha na ya msingi wakiipitie rasimu ya katiba mpya sura moja baada ya nyingine.Huku wakitoa mapendekezo yao kama kundi la watu wenye ulemavu.Mapendekezo hayo yalikuwa katika maeneo tofauti kama vile uhuru wa vyombo vya habari,mahitaji ya watu wenye ulemavu na kuzingatia mazingira yao rafiki,kinga dhidi ya mamlaka ya raisi ambapo pamoja na... | (Bila tafsiri) | Hariri |