Mapambano dhidi ya umasikini na UKIMWI Ni shirika lisilo la kiserikali lililo anzishwa tangu mwaka 2006 na watu wachache waishio na VVU / UKIMWI wazo la kuanzisha asasi hii lilikuja baada ya kutafakari changamoto mbalambali zinazowakabili watu waishio na vvu /ukimwi ktk maisha yao kwa ujumla Hii ilipelekea kuanzishwa kwa mradi wa bustani ya mbogamboga ili kujipatia mbogamboga kwa ajili ya lishe lakini pia wanachama wameweza kuanzisha mradi wa ufugaji wa mbuzi wa asili... | The fight against poverty and AIDS is an NGO which is established since 2006 and few people living with HIV / AIDS the idea of ​​establishing an organization of this came after contemplating the challenge mbalambali facing people living with HIV / AIDS ktk their lives in general this resulted in the establishment a project of garden vegetables to obtain vegetables for nutrition but also members are able to establish a project raising awareness of the nature of... | Edit |