Envaya

Tafsiri: Kiswahili (sw): Maandiko ya Watumiaji: WI000423C8F9313000055506:content

Asili (Kiswahili) Kiswahili

d3.jpg
Mbunge wa Ilala Mh. Azzan Zungu na Mbunge wa Mafia Mh. Shah akiperuzi kitabu cha hotuba ya bajeti ya Wizara ya Maji iliyowasilishwa leo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mh. Steven Wassira kwa niaba ya Waziri wa Maji profesa Mark Mwandosya ambaye yuko nchini India kwa matibabu. Kwa mujibu wa Spika Anne Makinda hali ya Profesa Mwandosya inaendelea vyema, Bajeti ya wizara ya Maji inajadiliwa kwa siku mbili na wabunge wengi waliochangia wameitaka serikali ifanya kila iwezalo kutatua tatizo sugu la maji nchini
d4.jpg
Mbunge wa Magu Mh. John Cheyo, Mbunge wa Kigoma Kusini Mh. David Kafulila na Mbunge wa Vunjo Mh. Augustine Lyatonga Mrema wakiwa bungeni leo
IMG_1379.jpg
Viongozi wa Wizara ya Maji, EWURA na wadau wa maji wakifuatilia kinachoendelea bungeni leo
d5.jpg
Sehemu ya Wabunge ambao ni mawaziri
d7.jpg
Baadhi ya wabunge kikaoni
d8.jpg
Baadhi ya waheshimiwa wabunge bungeni
d9.jpg
Toka shoto ni Mbunge wa Lushoto Dr Abdallah Kigoda, Mbunge wa Tabora Mjini Mh Aden Rage na Mbunge wa Singida kusini Mh. Mohamed Misanga. Mh. Rage pia ni Mwenyekiti wa Simba wakati Mh Misanga ni mwenyekiti Mstaafu wa Yanga
d11.jpg
Mbunge wa Mafia Mh Abdulkarim Hassan Shah akiongea na mdogo wake na kaka bungeni leo
d13.jpg
Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda (kulia) akiongea na Mbunge wa Musoma mjini Mh Vicent Nyerere
d14.jpg
Mbunge wa Korogwe vijijni Mh Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu (shoto) na Waziri wa Fedha na mbunge wa Mh Mustafa Mkullo wakiangalia magazeti ya leo yanayouzwa bungeni
d16.jpg
Mbunge wa Bumbuli, Mh January Makamba (shoto), Mbunge wa Sumve Mh Richard Ndassa (kulia) wakiongea na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Tanzania Profesa Tolly Mbwete wakati wa mapumziko
(Bila tafsiri)

Ili kuhariri tafsiri, lazima ufungue. Fungua · Jiandikishe