Envaya

Ubusobanuro: Kiswahili (sw): User Content: WI000CF92549881000075102:content

Base ((ururimi rutazwi)) Kiswahili

     tarehe 21/9/2011 chuyodo ili weza kufanya maamuzi ya kutafuta mwanasheriana mhasibu wa jumuia ambao walipatikana wote  nawenye kiwango cha digirii, hata hivyo tumeweza kuchangishana kiasi cha pesa kwa ajili ya kuongeza vitabu vya jumuia,tulipata ugeni kutoka boook aid international ambao wapo canada kwa ajili ya kuangalia maktaba yetu ,tumezitembelea jumuia zilizokaribu na zetu mfano ZEDY,NGORC kwa ajili ya kutafuta ushiriiano kutokka kwao pia tumepata wanachama 18ambao woteni wanawake katika skuliza nasari baada ya kuwapa ushauri wa kuwataka wanafunzi wao waje kusoma katika maktabayetu na wao walitupa wazo la kutaka kushirikiana nasi kwa kuja kuwasomesha watoto hao kwa kutumia itabu vyetu

tarehe 21/9/2011 chuyodo ili weza kufanya maamuzi ya kutafuta mwanasheriana mhasibu wa jumuia ambao walipatikana wote nawenye kiwango cha digirii, hata hivyo tumeweza kuchangishana kiasi cha pesa kwa ajili ya kuongeza vitabu vya jumuia,tulipata ugeni kutoka boook aid international ambao wapo canada kwa ajili ya kuangalia maktaba yetu ,tumezitembelea jumuia zilizokaribu na zetu mfano ZEDY,NGORC kwa ajili ya kutafuta ushiriiano kutokka kwao pia tumepata wanachama 18ambao woteni wanawake katika skuliza nasari baada ya kuwapa ushauri wa kuwataka wanafunzi wao waje kusoma katika maktabayetu na wao walitupa wazo la kutaka kushirikiana nasi kwa kuja kuwasomesha watoto hao kwa kutumia itabu vyetu


Kugirango ugire icyo uhindura kubyo wasemuye, ugomba kwinjira mu rubuga Injira · Iyandikishe

Ibitekerezo

MASHIRIKIANO YA PAMOJA NI MWANZO WA MAENDELEO KATIKA SEHEMU YOYOTE PALE HATUNA BUDI KUFANYA YALE YOTE YANAYOKUWA NA HAKI NAYO KWANI MSINGI WA MAENDELEO NI MOJA YA KUKUZA TAIFA LENYE MAFANIKIO MAZURI
13 Werurwe, 2012 by CHUYODO

Ibyasobanuwe

CHUYODO
13 Werurwe, 2012
tarehe 21/9/2011 chuyodo ili weza kufanya maamuzi ya kutafuta mwanasheriana mhasibu wa jumuia ambao walipatikana wote nawenye kiwango cha digirii, hata hivyo tumeweza kuchangishana kiasi cha pesa kwa ajili ya kuongeza vitabu vya jumuia,tulipata ugeni kutoka boook aid international ambao wapo canada kwa ajili ya kuangalia maktaba yetu ,tumezitembelea jumuia zilizokaribu na zetu mfano ZEDY,NGORC kwa ajili ya kutafuta ushiriiano kutokka kwao pia tumepata wanachama...