Halmashauri ya mji wa Geita ikishirikiana na Asasi ya Brightlight Organization katika maadhimisho ya wanawake mkoani Geita.
Baadhi ya wanawake walioshiriki katika siku ya maadhimisho ya wanawake Duniani iliyoadhimisho kwa furaha kubwa mkoani Geita ikifuatiwa na burudani mbalimbali,na hii ni timu ya mpira ya wanawake ikiwa tayari kwa ajiri ya mechi.
Baadhi ya watoto wanaohudumiwa katika kituo cha Brightlight Organization baada ya kupewa vyeti vya (tunu) walipo fanya vizuri katika masomo yao.
Wanafunzi waliomaliza mafunzo yao kutoka katika taasisi ya elimu ya watu wazima katika kituo cha Brightlight kilichopo mjini Geita .
Halmashauri ya mji wa Geita ikishirikiana na Asasi ya Brightlight Organization imeanza zoezi la kuwakusanya watoto wa mtaani baada ya ongezeko kuwa kubwa mjini hapa.
Mkurugenzi mtendaji wa asasi ya Brightlight Organization ndugu Mathew Daniel katika kikao cha wadau mkoani Geita akielezea umhimu wa maadhimisho ya siku ya wanawake yanayofanika kila mwaka.
Afisa maendeleo ndugu Majagi Maiga akitoa ufafanuzi juu ya maandalizi ya siku ya wanawake inayoadhimishwa kila mwaka duniani kote.
Asasi ya Brightlight Organization imekusudia kupunguza watoto walio katika ajira hatarishi katika maeneo ya migodi mkoani Geita.
Mkurugenzi mtendaji wa Asasi ya Bright light Organization na Mr.David Ocheng kulia wakicheza mpira na watoto kituon Brightlight Org.
Executive Director mr.Mathew Daniel second right side when visted at Mkula health centre with the vulnerable children of Brightlight Organization early 2014.