Envaya
Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

Kushirikisha jamii kusaidia watoto yatima na walio katika mazingira magumu

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
18 Kamena, 2011 at 11:13 EAT

kutoa elimu kwa kamati za kuhuduma za jamii kujua matumizi ya daftari ya fedha

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
18 Kamena, 2011 at 11:18 EAT (edited 26 Werurwe, 2012 at 08:06 EAT)

Kutokana na mradi huu tumeweza kushirikisha Halmashauri ya wilaya, watendaji wa kata na madiwani na kupeana mikakati na wajibu wa kila mmoja ili kuhakikisha makundi yalio katika hatari ya kuathiriwa na umasikini yanasaidiwa.

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
18 Kamena, 2011 at 11:21 EAT (edited 26 Werurwe, 2012 at 08:06 EAT)

Mikakati yetu kuhakikisha jamii inaelimika na kuanza kuchangia makundi ya kijamii yalio katika hatari ya kuathiriwa na umasikini

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
18 Kamena, 2011 at 11:23 EAT (edited 26 Werurwe, 2012 at 08:06 EAT)

Watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi wanapata haki za msingi ikiwa ni elimu, afya na huduma nyingine za msingi

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
18 Kamena, 2011 at 11:26 EAT (edited 26 Werurwe, 2012 at 08:06 EAT)

Kuhakisha watoto yatima na walio katika mazingira magumu wanaenda shuleni na kuhudhuria masomo

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
18 Kamena, 2011 at 11:28 EAT (edited 26 Werurwe, 2012 at 08:06 EAT)

Kuhakikisha watoto yatima na walio katika mazingira hmagumu wanapata huduma ya afya

Benson A.Mwang'ombola (MRATIBU WA MRADI)
18 Kamena, 2011 at 11:30 EAT (edited 26 Werurwe, 2012 at 08:06 EAT)

Ni kuhakikiasha watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi wanapata chakula


Andika ubutumwa (Hisha)

Izina ryawe:
Aho uherereye
Your email:
(optional)
Your email address will not be published.