Log in
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

Zanzibar, Tanzania

Parts of this page are in Swahili. Edit translations

large.jpg

Mkurugenzi Ajira, Ameir Ali Ameir(aliyesimama), Bibi Mwanaidi Kassim, Mshauri wa kigeni wa MEECO Bi.Katrina na Diwani wa Wadi ya Mwanakwerekwe Nd.Kitete wakiwa katika meza kubwa katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib

large.jpg

Mkurugenzi Wizara ya Kazi Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi na Ushirika Nd. Ameir Ali Ameir (Aliyesimama)ambae pia ni miongoni mwa walezi wa jumuiya hiyo akihutubia wanachama na wageni waalikwa katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib

large.jpg

Mwenyekiti Kitengo cha Mazingira cha Asasi ya MEECO Bi. Halima Salum (nguo nyekundu)na Bi. Khadija Suleiman Mnoga mjumbe wa MEECO wakiwa katika Shamra shamra ya kumpokea mgeni rasmi Mh. Mwanaidi Kassim Juma Mwakilishi wa Viti maalum kwaniaba ya Naibu Waziri wa Habari, Utalii,Utamaduni na michezo katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib

large.jpg

Vijana wa MEECO Talent Group wakiwa wametulia baada ya kumaliza kuonesha vitu vyao vya kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib

large.jpg

Wanachama wa MEECO wakiwa na Asasi rafiki ya Suza American Corner wakiitikia wito wa kuhudhuria katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib

large.jpg

Diwani wa Wadi ya Mwanakwerekwe Nd. Mohd Kitete akiwa na Sheha wa shehia ya Mwanakwerekwe Bw. Ameir Pandu(fulana blue)na sheha wa shehia ya Pangawe Bw. Abdallah Juma Mtumweni (fulana ya njano) wakiitikia wito wa kuhudhuria katika sherehe za kumuaga Mshauri wa Kigeni wa Jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demullang iliyofanyika katika kijiji cha Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja Wilaya ya Magharib

large.jpg

Wanachama wa MEECO na jumuiya rafiki ya SUZA AMERICAN CORNER wakiwa katika mkutano rasmi wa sherehe ya kumuaga Mshauri wa kigeni wa jumuiya ya MEECO Bibi Katrina Demmulang iliyofanyika  Meli nne Mbarali Mkoa wa Mjini Unguja wilaya ya Magharib

large.jpg

Vijana MEECO TALENT GROUP (MTG) wakiwa na viatu vyao baada ya mshauri wao wa kigeni Bibi Katrina Demmuling kuwasaidia fedha kidogo za kununulia vifaa vyao zikiwemo nguo na raba ambazo wanazo hapo

large.jpg

Vijana wa MEECO TALENT GROUP(MTG) wakiwa katika matembezi hoteli ya Marumbi iliyoko Mkoa wa kusini Unguja wilaya ya Kati baada ya kufanya majaribio ya maonesho yao na kukubalika na Meneger wa hoteli hiyo

large.jpg

Mwenyekiti wa jumuiya ya MEECO Nd. Abdallah Ali Hassan akitafakari baada ya kuitikiab mualiko wa kushiriki katika zoezi la usafishaji wa mazingira lililo andaliwa na jumuiya rafiki.