Injira
MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

MWANAKWEREKWE ENVIRONMENTAL ETHICS AND CULTURAL ORGANIZATION (MEECO)

Zanzibar, Tanzania

Uru rupapuro ruragaragazwa mu rurimi rw'umwimerere Igiswayire. Edit translations

large.jpg

Msaidizi Katibu Nd. Abdallah Saleh Fatawi (aliyesimama mkabala na jembe) na Mshika fedha wa MEECO Nd.Fred Mont Kasambala wakiwa katika harakati za usafi wa mazingira

large.jpg

Viongozi na wanachama wa jumuiya ya Mwanakwerekwe Environmental Ethics and Cultural Organization MEECO) wakiwa katika harakati za usafi wa mazingira katika maeneo yaliyo wazunguka

large.jpg

Miongoni mwa vitendo vya ajabu vinavyooneshwa na vijana wadogo wa MEECO TALENT GROUP katika harakati za kuwakaribisha wageni kutoka shirika la Thefoundationfor civil society tarehe 4/9/2011

large.jpg

Vijana wa MEECO TALENT GROUP(MTG) wakiwa katika onesho lao la kuwakaribisha wageni kutoka Shirika la thefoundation for civil society

large.jpg

Vijana wa MEECO TALENT GROUP (MTG) wakiwa katika harakati zao za kuwapokea wageni kutoka shirika la Thefoundation for Civil society baada ya shirika hilo kuitembelea Asasi ya MEECO

large.jpg

Maafisa kutoka Shirika la The foundation for Civil Society la Dar-es-salaam wakiwa katika dhiara yao ya kuitembelea Asasi ya MEECO baada ya kupokelewa kwa maombi yao ruzuku wa mradi wa kujengewa uwezo uliotumwa na jumuiya ya MEECO shati rangi ya chungwa ni Katibu wa jumuiya ya MEECO Nd. Suleiman J. Pandu, kushoto kwake ni M.Kiti kitengo cha Mazingira cha Asasi ya MEECO Nd. Halima Salum na pia ni diwani wa viti maalum

large.jpg

Meeco Talent Group (MTG) wakiwa katika chakula cha pamoja katika kusheherekea sikuu ya idielfitr nyumbani kwa Msaidizi Mwenyekiti Nd. Mwajuma Kombo Khamis

large.jpg

Suleiman Jeni Pandu (General Secretary) and Mwajuma Kombo Khamis A.Chair person katika ukumbi wa Salama hall Bwawani wakiwakilisha MEECO katika siku ya vijana duniani na kutajwa mshindi wa Pesa za ruzuku za mfuko wa UN-HABITAT

Hi !!!!!!  today i want to talk with you concern our institution (MEECO).  Among the activities we do are as follows:

  • Participate in world youth seminar held on 8 August and was presented on the institutions that have succeeded in getting a grant from UNHABITAT. Unfortunately for the MEECO not lucky. Since the grant contained communities worldwide, statistics indicate that total institutions applied the grant were more than 5500 applications. Zanzibar was on the side of 767. Successful institution was 6.         2 from Unguja and 4 from Pemba. If you recall we wrote a project for youth participation in decision making and development planning. Therefore, we should identify you that were not our luck to get a grant project.
  •  Day on 20 MEECO talent group went to make a show in the hotel at Marumbi Zanzibar and manager accepted them.

 

  • Also among the activities we do at this stage is we got the right to participate in sanitation activities, which we believe is given to community friend
  • Movements to celebrate the Feast festival arrived and we gathered to MEECO talent youth group we ate food together at home for Bi. Mwaju
  • Days of the date 04.09.2011 Meeco members were joined in the activities of environmental sanitation at the community office
  • Days of the date 09.05.2011 MEECO we got lucky to be visited by guests from Dar-es-Salam and is from the organization of the foundation for Civil Society. These guest were meant to visit meeco because if you remember meeco we apply for a grant for capacity building so we were lucky to pass the screening so they come to ensure the truth were wrote

  

 

Asasi ya Mwanakwerekwe Environmental Ethics and Cultural Organization(MEECO) kwa kushirikiana na American Corner English Club,siku ya jumamosi ya tarehe 23 July 2011 itafanya dhiara ya kwenda Kijiji cha Unguja Ukuu, mkoa wa Kusini Unguja wilaya ya Kati.Dhiara hiyo itakuwa na malengo yafuatayo:

  1. Kuhamasisha Wanakijiji na Jamii ya Wazanzibar kwa ujumla umuhimu wa utunzaji,uhifadhi na Kulinda mazingira.
  2. Nafasi za Asasi zisizo za kiserikali katika jamii ya Mtanzania
  3. Umuhimu wa ushirikiano wa Asasi zisizo za kiserikali na uwongozi wa serikali za mitaa.

Shughuli zinazotarajiwa kufanyawa katika safari hiyo ni kama zifuatavyo:

  • Kuonesha onesho la Mchezo wa Sarakasi litakalochezwa na Vijana wa Meeco Talent Group(MTG)
  • Zoezi la upandaji wa miche ya mikoko
  • Mashauriano kati ya Viongozi wa Kijiji na Wanadhiara.

 Katika safari hii mgeni mualikwa anategemewa kuwa Mwakilishi wa jimbo la Amani. Na mshauri wa kigeni wa Asasi ya MEECO  Miss. Katrina Demulling

Safari hiyo itakuwa saa 9:30 a.m